Monday, 27 August 2018

Mfaamu adui yako

O-------------------------------------- BAADA YA KUOKOKA,TAFUTA UTAKATIFU » FREEMASONS NA ILLUMINANT Comments FeedO————————————– BAADA YA KUOKOKA,TAFUTA UTAKATIFUHome|Pages|ArchivesFREEMASONS NA ILLUMINANTHiki ni kitabu chenye siri nzito za Freemasons na Illuminanti.Utangulizi.Ni mpango wa Shetani kuangamiza sheria ya Mungu tangu mwanzo. Shetani amekuwaakifanya vita dhidi ya amri 10 za Mungu ambazo ndicho kipimo pekee cha utii kwaMungu. Katika vita hiyo, Shetani amekuwa akitumia mawakala wa aina mbalimbali kiasicha kufanikiwa kuwadanganya mamilioni ya watu duniani nao wakaiacha sheria yaMungu na kufuata mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu. Shetani ameanzisha kanisalake na kuweka amri 11 kinyume cha amri 10 za Mungu. Mbeleni tutaona jinsi wauminiwa Shetani kwa dini la Freemasons na Illuminati wanavyotumia namba na ishara katikakazi zao duniani kiasi cha kuwapofusha watu huku wakidhani kwamba wanamuabuduMungu wa mbinguni kumbe wanamuabudu Shetani mwenyewe.Tunaishi katika nyakati za hatari. Majanga yameenea kila mahali. Machafuko ya kilaaina yameenea ulimwenguni kote. Ubakaji, matetemeko ya ardhi, moto usiowezekanakuzimwa, mafuriko wakati wa kiangazi, migomo ya wafanyakazi, maporomoko ya ardhi,kuyumba kwa uchumi, milipuko ya Volkanona mengine mengi yanazidi kutokea kilakukicha, tena katika mataifa makubwa yaliyoendelea na hata kuitwa ‘mataifa yaulimwengu wa kwanza’.Kuongezeka kwa machafuko haya ya asili na kisiasa yanawafanya wanadamu wawe nahofu kuhusu maisha yao ya baadae. Inaonekana kana kwamba tupo katika ncha yamwisho mbele yetu kukiwa na shimo kubwa tayari kuangukia shimoni. Yote haya nidalili za mwisho wa wakati kwa wale walio na masikio ya kusikia na macho ya kuona,kwamba ulimwengu hautaendelea kwa muda mrefu ukiwa katika hali hii. Mioyo ya watuinajawa na hofu kwa haya yanayotokea (Luka 21:26). Na watu wanajiuliza maswali:“kwa nini haya yanatokea?” “Je, Shetani ametawala kikamilifu?”Hapana, Mungu hajawaacha watu wake waaminifu, lakini maswali hayo yoteyanaonyesha kwamba kuna kitu nyuma ya matukio haya kuliko wengi wanavyowezakuelewa.Kuna vita kali inayoendelea kati ya nguvu za nuru na nguvu za giza —-vita kali katiya Yesu na Shetani—-na matokeo yake ndiyo yanayoonekana kwa wanadamu ikiwa nimatukio hayo. Hata hivyo Mungu wa mbinguni amewaambia watu wake kwamba “mudaubakio si mwingi.” Na anaendelea kusema “Tukijua ya kwamba saa ya kuamka katikausingizi imewadia, kwa maana sasa wokovu wetu u karibu nasi kuliko tulipoanzakuamini. Usiku umeenda sana, mchana umekaribia, basi, na tuyavue matendo ya giza, nakuzivaa silaha za nuru.” 1 Wakor 7:29; Warumi 13:11-13.Paulo anatueleza kwamba “Tuvae silaha zaMungu,” ndipo tutakapoweza kusimamadhidi ya madanganyo ya Mwovu (Waefeso 6:11).Nilipokuwa nasoma unabii wa Danieli, Ezekieli, Ufunuo nk sikujua jinsi unabii huuutakavyotimia na kwamba kumbe kundi linalofanya kazi zake kwa siri kubwa ndilolinalotimiza unabii huu kwa kiasi kikubwa sana.Wengi hawana habari na madanganyo haya ya Shetani na Mungu ametuagizakwamba tusiwe wajinga kiasi cha kutotambua mbinu za Shetani na hivyo “Shetaniakapata kutushinda” 2 Wakorintho 2:11.Mafanikio makubwa ya Shetani katika udanganyifu yamepatikana kwa njia yakuwafanya watu wawe wajinga wa mbinu anazotumia katika kazi yake. Wakatitunapokuwa wajinga au kuchanganyikiwa, ndipo Shetani anapotushinda na amefanikiwakwa kiasi kikubwa kuwashinda wanaume na wanawake wengi ulimwenguni. Hivyohatupaswi kulala usingizi na kushindwa kutambua kile kinachoendelea katika ulimwenguwa giza. Kwa nini? Kwasababu “Mshitaki wenu, kama simba angurumaye, huzungukazunguka, akitafuta mtu ammeze.” 1 Petro 5:8; Ufunuo 12:12.Mwovu anajua kwamba muda wake ni mchache na hivyo halali akiwa anafanya kaziya kuuongoza ulimwengu kuelekea katika uangamivu wa mwisho. Watu wa Mungukaribu watajaribiwa. Wale wasioshinda kwadamu ya mwana kondoo watapata hofu yamajaribu na hivyo kushindwa.Lakini ni kwa njia gani Shetani anafanya kazi yake? Anafanya kazi kupitia mawakalagani? Jibu linatolewa na Mungu. kwa upendo mwingi Mungu anatufunulia wahusikawakuu katika mchakato huu wa vita ya mwisho kati ya Kristo na Shetani. Wahusikahawa ndio wanaostahili kulaumiwa kutokana na matokeo tunayoyaona katika ulimwenguwote kama yalivyotajwa hapo juu.Katika kitabu cha Ufunuo, Mungu anatufunuliwa wahusika au mawakala watanoambao ni:1—Mnyama mwekundu wa Ufunuo 12—Shetani mwenyewe2—Mnyama mfano wa chui wa Ufunuo 13—Rumi ya kidini3—Mnyama mfano wa mwana kondoo wa Ufunuo 13:11—Taifa la Marekani4—Sanamu ya Mnyama Ufunuo 13—Umoja wa makanisa —WCC5—Mnyama wa rangi nyekundu sana na mwanamke wa Ufunuo 17—-Illuminati,freemason wakiwa wameungana na kanisala Rumi..Wengi hawakuwa wanatofautisha wanyama hao lakini utakapojifunza kwa undanizaidi utagundua kwamba mnyama wa Ufunuo 17 ambaye ni mwekundu sana mwenyepembe kumi na vichwa saba ambaye amembeba mwanamke inamaanisha muungano waIlluminati wakiwa wameunda majimbo kumi katika dunia nzima pamoja na kanisa laRumi likiwa na watawala saba tangu kuanza kazi yake baada ya kupata jeraha lamauti.Biblia inapotumia neno mwanamke kiunabii humaanisha kanisa (Ufunuo 21:2) na neno‘kichwa’ humaanisha kiongozi wa kanisa ambapo kwa kanisa la Mungu, kichwa ni Kristolakini kwa kanisa la uongo, kichwa ni mwanadamu aliyechukua nafasi ya Yesu duniani,(Wakolosai 1:18; 2Wathesalonike 2:4). Biblia kamwe haijawahi kutumia neno ‘kichwa’kumaanisha kiongozi wa kiserikali ila hutumia neno ‘watawala au wafalme’. Ndiomaanavichwa saba inamaanisha vipindi saba vya viongozi saba wa kanisa.Ufunuo 17:8 anasema kwamba mnyama huyo yuko tayari kupanda kutoka kuzimu nakatika Ufunuo 9:11 tunasoma kwamba “Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wakuzimu…”. Mafungu yote hayo yanamaanisha umizimu (spiritualism) ambayo ni imaniya Illuminati. Imani hii inamfanya muumini aamini kwamba hakuna kifo na mtuanapokufa anakuwa amebadilisha mahali kwa kuhama duniani na kwenda mahali pengineakiendelea kuishi na kwamba hiyo ndiyo mbingu yake maana hawaamini kama kunaufufuo. Chanzo cha fundisho hili ni Shetani alipomfundisha Hawa kwamba “Hakikahamtakufa” Mwanzo 3:4. Hivyo tutajifunza na kuona ukweli huu wa Illuminati kwakujiunga na kanisa ili kutimiza malengo yao.Je, kuna watu au kitu kinachoitwa Illuminati? Inaweza kuwa katika kizazi chetu hiki?Baadhi wamekuwa wakidhihaki kuhusu swala zima la Illuminati. Hata hivyo katikakitabu hiki unaweza kupata ufahamu wa kina kuhusu Illuminati na Freemason ndani yajamii tunayoishi. Je, maneno kama Illuminati au Freemason ni mapya kwako? Hilolinawezekana maana maneno hayo hayafahamiki kwa watu wengi, hata kwa wasomiwakubwa wa elimu ya duniani. Hii ni kutokana na ukweli kwamba wahusika wa manenohayo wamekuwa wakifanya kazi zao kwa siri kubwa kiasi cha kuwafanya watumamilioni wasielewe kinachoendelea na hivyo maneno hayo kuendelea kuwa siri kubwa.“The great strength of our order lies in its concealment,” yaani “nguvu kubwa yautaratibu wetu iko katika kuficha na kufanya kazi zetu kwa siri kubwa” ni maneno yaAdam Weishaupt, mwanzilishi wa Illuminati mwaka 1776. Akaendelea kusema, “Let itnever appear in any place in its own name, but always covered by another name andanother occupation” yaani “Hebu isionekane mahali popote kwa jina lake, lakini daimaifanyike kwa jina lingine na kwa namna nyingine.” (Kutoka kwa Robin’s Proofs of aConspiracy, p. 195.)Kazi hizi za Illuminati zimekuwa zikifanyikaduniani kote kwa karne nyingi kiasikwamba watu wengi hawajui hata kuwepo kwa watu kama hao. Njama hizi za sirizinaweza kuwa na msingi wake tangu wakati wa Nimrodi, mtu yule muovu aliyeanzakazi zake za uasi huko Mesopotamia. Wakati kila mwalimu wa dini anajua kuhusu mnarawa Babeli, ni wachache wanaojua kwamba kanuni za mchakato huo wa zamani wakujenga mnara wa Babeli ndizo zinazofanya kazi hadi leo katika nyanja za Siasa na Dini.Kitabu hiki kiitwacho ‘Illuminati na Freemason katika mnyama wa namba 666’,kitakupa ukweli wa leo na wa ajabu na ukiondoa Biblia, ni vitabu vichache vinavyowezakukupatia habari za uhakika na muhimu kwa ajili ya wokovu wa maisha yako. Sio lengola mwandishi wa kitabu hiki kushabikia dinifulani au kuanzisha kanisa na kupatawaumini kama wafanyavyo walio wengi, bali lengo ni kutoa bila woga wala upendeleoukweli halisi kama ulivyotolewa na Mungu mwenyewe. Hivyo kama utakutana na habarizinazopingana na imani yako ni vema basi kutulia na usikasirike maana hasira yamwanadamu haitendi haki ya Mungu (Yakobo 1:20), ni vema kumuuliza Mungu kwaunyenyekevu ili akuhakikishie kama habari hizi zinatoka kwake na uwe tayari kupokealolote atakalokujibu. Mungu ni mwaminifu na hakika atakujibu kama utamwendea kwania ya kutaka kufuata ukweli wake. Lengo la mwandishi wa kitabu hiki ni kuwapelekawasomaji kwa Mungu mwenyewe na sio kuwapeleka kwa mwandishi. Kabla ya kuanzakujifunza kwa undani, hebu tuone vyanzo vya habari hizi nzito. Ninatoa shukrani kubwakwa ajili ya vitabu hata vile ambavyo hatuvikubali, maana vinatuonyesha mawazo yawaandishi wengine. Vipo vitabu vingi ambavyo vimetumika katika kuandaa kitabu hiki,vitabu hivyo baadhi ni pamoja na “The Illuminati 666” cha ndugu Roy Allan Anderson;“The broken Cross” cha Padre Peirs Compton wa kanisa katoliki; “The TwoBabylonians” cha ndugu Alexander Hislop, “Freemasonry encyclopedia”, “Morals andDogma” cha Dr. Albert Pike; “To be God of One World” cha Robert Sessler; “The Keysof this Blood” cha Padre Malachi Martin wakanisa katoliki, “The Secrets of TheIlluminati” cha ndugu Mac Marquis aliyewahi kuwa freemason na akajitoa, mtandao waWikipedia na mitandao mingine mingi ikiwa ni pamoja na vyanzo vya kuaminika kutokakwa Illuminati na Freemason wenyewe; pamoja na vitabu vingine vingi utakavyovionakama rejea ya kila nukuu utakayoisoma. Hata hivyo kitabu ambacho tumekitegemea sanakatika kuandika kitabu hiki, ni kitabu cha vitabu vyote, kitabu ambacho ni zaidi ya vitabuvyote, kitabu ambacho ni tofauti na vitabu vingine vyote duniani kilichoandikwa na zaidiya watu 30 walioishi wakati na mahali tofauti tena kwa tofauti ya maelfu ya miaka, wengiwao bila kukutana wala kufahamiana huku muasisi akiwa ni Mungu Mwenyewe, kitabuhicho ni “Biblia Takatifu” ambayo pamoja na kuandikwa na watu zaidi ya 30,hawakutofautina hata katika neno moja. Wakati tumetumia nukuu kutoka katika vitabuvingine, lakini bado tumechukulia kwamba neno la Mungu ndani ya Biblia ndilo lenyenuru na ukweli wa mwisho na hivyo limetumika hata kupima maandishi ya vitabuvingine. Kwa muda wa miaka zaidi ya kumi na mbili sasa tangu nianze kufanyauchunguzi kuhusu vyama vya siri, kamwe sijawahi kufundisha bila kupima mafundishoya vyama hivi kwa kutumia Biblia. Kila mipango na matukio yanayofanywa na Illuminatinimekuwa nikiyapima kwa Biblia katika unabii ili niwe na uhakika kama mipango yaoiko sawa na unabii alioutoa Mungu kupitia Biblia.Tunaweza kusoma katika Ufunuo 17:17 nabii Yohana anasema: “Maana Munguametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na kufanya shauri moja na kumpa yulemnyama ufalme wao, hata maneno ya Mungu yatimie” ikiwa na maana kwamba Munguametia shauri lake mioyoni mwa Illuminati ili wapange mipango yao ya kumpa ufalmewao mnyama wa namba 666 kusudi maneno ya Mungu—yaani unabii wa Mungu utimie.Hapa tunaweza kutambua kwamba mipango ya Illuminati inakwenda sawa na unabii waMungu. Kitabu hiki kitakupa habari za uhakika jinsi mipango ya Illuminati ilivyowekwakwa ajili ya kumpa utawala wao na nguvu zao mnyama wa namba 666 ili apate kutawaladunia kama Mungu alivyotufunulia katika unabii wa Biblia. Mipango hiyo ni ya siriikiwa ni pamoja na kuweka ratiba ya vita kuu tatu (3) za dunia ambapo tayari vita kuumbili za dunia zimeshatekelezwa wakati vita kuu ya tatu ya dunia itatekelezwa muda simrefu.Katika agano la kale na agano jipya ndani ya Biblia ndipo tumeweza kupata mwangawa kuelezea siri hizi za Illuminati na Freemason, ambalo ndilo kusudi la kitabu hiki iliwatu wajue ukweli na kisha wawe huru kutoka utumwani mwa shetani. Mtume Paulokatika barua zake kwa kanisa ameelezea kuhusu “Siri ya Mungu” ambayo katika neno laMungu ni “Mungu kufunuliwa katika mwili,”na “Kristo ndani yetu, tumaini la utukufuwetu” (1Timotheo 3:16; Wakolosai 1:26,27).Katika barua yake ya pili kwaWathesalonike anaelezea kuhusu “Siri ya kuasi” ambayo anaiita “Mtu wa dhambi,”maana yake mnyama wa namba 666, anayejifanya kuwa ni Mungu akitaka aabudiwekama Mungu (2Wathesalonike 2:7; 3 na 4). Mtume anasema kwamba siri hiyo ilikuwainatenda kazi tangu wakati wake lakini akaelezea kwamba siri hiyo itafanya kazi kubwazaidi wakati wa mwisho kwa kutumia ishara na maajabu mengi. Hivyo tunakuta ainambili za siri, yaani “Siri ya Mungu” na Siri ya kuasi”. Siri ya kuasi inatokana na uasi waShetani na kisha kuendelea kufanya kazi zake kwa siri kubwa ili kuwafanya watuwasielewe kinachoendelea katika ulimwengu wa siasa, uchumi, elimu na dinina hivyowatu wengi wanakuwa watumwa wa freemason bila wao kujua kama ni watumwa.Kwa nini nimehusisha mnyama wa namba 666, Illuminati, freemason na maswala yaibada na imani? Ukweli ni kwamba unapoongelea Illuminati, Freemason na mnyama wanamba 666 unaongelea kuhusu mambo ya imani, ibada na utawala kama anavyosemammoja wa Illuminati mwenye digrii 33 Bw. Albert Pike, namnukuu: “Every MasonicLodge is a temple of religion, and its teachings are instruction in religion” (Albert Pike,Morals and Dogma, P. 213.) Kwamba “kila Loji (Jumba au kituo) ya Freemason nihekalu la mambo ya dini, na mafundisho yake ni maagizo katika dini.” Bw. Albertanaendelea kusema kwamba: “Freemasonry is a search for Light. That search leads usdirectly back, as you see, to the Kabalah.” [Albert Pike, Morals and Dogma, p. 741]Kwamba “Freemason ni kutafuta nuru. Na kutafuta huko kunatufanya, kama unavyoona,tujielekeze Kabalah.” Kama Freemason wana kazi ya kutafuta nuru, ambayo kwa kwelisiyo nuru ya kweli, basi watu wanaotafuta wokovu wanapaswa kutafuta nuru ya kweli.Yesu alisema, “Ninyi ni nuru ya ulimwengu.” Mathayo 5:14 Hivyo tutakuwatukichunguza mambo ya imani, ibada na utawala ambavyo ni vitu muhimu zaidi kulikokitu kingine katika maisha ya mwanadamu maana ndivyo vitakavyotoa taswira ya hatimaya kila mmoja wetu, ama ni uzima wa milele au kupotea milele.Mibaraka ya kujifunza neno la Mungu ni kwamba unapoona dalili fulani zikitokea,hazikustui wala kukutia hofu. Dalili hizo badala yake zinakufanya usonge mbele katikakufanya kile ambacho Mungu amekiagiza ili kushiriki na wengine mibaraka hiyo yaukweli kadri wengi wanavyoweza kuwa na masikio na kusikia. Lakini pia kushiriki hukukwa mibaraka na wengine si kwa lengo la kuwafanya wawe na hofu, bali kuwafanyawajiandae kutokana na kile kitakachoupataulimwengu kadri tunavyoishi. Kwa kufanyahivyo mara kwa mara huwafanya wasikilizaji na wasomaji watafute kutembea na Mungukwa ukaribu zaidi ili kwamba wawe tayari kwa lolote atakalowaambia kulifanya katikasiku hizi za mwisho. “Yaliyokuwako ndiyo yatakayokuwako; na yaliyotendeka ndiyoyatakayotendeka; wala hakuna jambo jipyachini ya jua.” Mhubiri 1:9.Kujifunza unabii kunaweza kuwa ni jambo muhimu na zuri ambalo kamwe haliwezikushindwa katika kuamsha roho ya kumtafuta Mungu. Kila siku mtu anapojifunza ukweliwa leo kutoka kwa Mungu, ndipo anapoanza kuona zaidi na zaidi unabii unavyotimiambele yake. Wakati watu wengi wanashindwa kuona hatari inayowakabili, msomaji waneno la Mungu anapata mbaraka wa kujua maonyo na hivyo kuweza kujiandaa yeye nanyumba yake kwa ajili ya kurudi kwa Yesu mara ya pili. Na hii ndio sababu kwambaYesu hatakuja kama mwivi kwa yeye aaminiye, maana anaweza kujua unabii nakujiweka tayari kwa ujio wa Yesu. Ndio maana Paulo anasema, “Bali ninyi ndugu,hammo gizani, hata siku ile iwapate kama mwivi.” 1 Wathesalonike 5:4.Mara nyingi wahubiri huhubiri kuhusu mafungu mawili yanayofuatia katika nukuuhiyo ya Paulo na kisha wanasimamia hapo tu. sababu ni kwamba, kama watalihubirifungu hilo hapo juu, kondoo wao watahitajikufahamu ni jinsi gani Wakristo baadhiwatakutwa hawako tayari au wako gizani wakati Yesu anarudi. Lakini mhubiri huyo kwavile hajifunzi unabii na wala hajui unabii vya kutosha ili aweze kuwasaidia wasikilizajiwake, hivyo anakwepa kusoma fungu hilo ili kuepuka maswali atakayoulizwa kutokanana fungu hilo.Kuna matukio mengi ya kiunabii ambayo yameshatimia katika siku zetu hizi kiasikwamba sina nafasi ya kuyaelezea maana kila mtu anaona hali ilivyo. Moja ya unabiimuhimu sana katika siku hizi za mwisho niule wa mnyama wa namba mia sita sitini nasita. Baadhi ya matukio ya kiunabii hayaonekani kuwa ni unabii na watu wengiwamechukulia kuwa ni hali ya kawaida ya asili kutokea. Wakati tunaamini kwamba Yesualiahidi kwamba atarudi tena kuwachukua walio wake, baadhi wameifanya hiyo ahadikuwa mzaha na hilo lilielezwa na mtume Petro, akasema,“…..Mkijua kwanza neno hiliyakwamba katika siku za mwisho watakuja na dhihaka zao watu wenye kudhihaki, wafuataotamaa zao wenyewe, na kusema, Iko wapi ahadi ile ya kuja kwake? Kwa maana tanguhapo babu zetu walipolala, vitu vyote vinakaa hali iyo hiyo, tangu mwanzo wakuumbwa.” “Watayakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewewatajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti, naowatajiepusha wasisikie yaliyo ya kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.” 2 Petro 3:3,4;2Timotheo 4:3,4. Hili nalo ni tukio la kiunabiimaana limetimia. Utakuta ukimwambia mtuakusubiri utarudi muda si mrefu, anakuambia “Umekuwa Yesu?” Akimaanisha kwambaYesu alisema atarudi lakini hajarudi na hatarudi hivi karibuni. Bahati mbaya wengi wawatu hawa, wenye dhihaka, ni wale wanaodai kuamini mamlaka kuu ya Biblia.Wanaamini kwamba Yesu atarudi lakini siosasa ila ni miaka mamia ijayo. Sasa hapaMungu anatupatia unabii wa siku za mwisho kuhusu mnyama wa ajabu ambayeanatambulika kwa hesabu ya kibinadamu. Wakati Mungu anatumia wanadamu kamawakala wake katika kupeleka nuru ulimwenguni, Shetani naye anatumia wanadamu kamawakala wake wa kueneza dini ya Shetani. Mungu anawaita mawakala wake kuwa niWachungaji, Wainjilisti, Mitume, Manabii na watu mmoja mmoja kama washiriki waupande wa Mungu. Shetani amekuwa akiwaita mawakala wake kuwa ni IlluminatinaFreemason ambao hata hivyo hujigeuza nakujiita kama wachungaji, Wainjilisti, MitumeManabii kumbe kwa ndani ni mbwa mwitu wakali. Nitapaje kuwatambua Freemason naIlluminati hata kama wanajiita majina ya wakala wa Mungu? kitabu hiki kitatoa majibumengi ya maswali yako. Napenda pia kuomba radhi mapema kwa kutokutafsiri baadhi yamaneno yaliyoandikwa kwa lugha ya Kingereza; hii ni kutokana na umuhimu wa manenohayo kuwa katika lugha iliyotumika kuyaandika na pia kubana nafasi ili kitabu kisiwekikubwa. Naamini kwa wale wasiojua lughaya Kingereza watapata watu wa kuwasaidiakujua maana ya maandishi hayo kwa kuwa ni ya muhimu pia.Baada ya kujifunza yote yaliyoandikwa katika kitabu hiki utaweza kutambua yafuatayo:1. Malengo na matukio ya Mpango Mpya wa Ulimwengu—-New World Order.2. Madhara yatokanayo na mpango huo kwa kila mtu duniani.3. Jinsi mpango huo unavyoathiri hata sasa kila mtu, kila familia na kila dini hatakabla ya hitimisho la mpango huo.Ukiwa umeshapata ujuzi na ukweli huu utaweza kujua jinsi ya:1. Kujilinda wewe mwenyewe dhidi ya mpango huu, kuwalinda watoto wako,kuilinda familia yako na wote uwapendao.2. Kuishi maisha ya Kikristo huku ukiwa ni mshindi ndani ya ulimwengu huu wagiza kuu la kiroho kwa sababu utaijua kwelinayo kweli itakuweka huru.Tutaanza kuona katika sura ya kwanza jinsi Shetani anavyofanya kazi kwa sirikubwa chini ya utambulisho wa namba 666na katika sura zitakazofuatia za kitabuhiki tutaona msingi wa uasi mkuu na matokeo yake, tutaona pia baadhi ya matukiondani ya jamaii, kiuchumi, kiutamaduni na kidini yaliyo na muhuri wa Illuminati, nahatimaye tutapata wito kutoka mbinguni ili kama tutaitikia wito huo tuweze kurejeakatika kanisa la mitume kama lilivyokuwa kabla ya ukengeufu kisha Yesuatakaporudi hivi punde, atukute tuko tayari kumlaki mawinguni.Kwa nini ni muhimu kumjua Mnyama wa namba666?Umoja wa mataifa na namba 666Katika picha hapo juu unaweza kuona umuhimu wa kujua asili ya namba 666 na kwa nininamba hiyo inatumiwa na viongozi wakuu wa umoja wa mataifa. Kwa kifupi kwenyepicha hiyo wapo watu 6 wakiongoza mkutano wa umoja wa mataifa na nyuma yao kunakitambaa kilichoandikwa ‘United Nations 666’ kumaanisha kwamba umoja wa mataifaunaandaa njia ya utawala wa mnyama wa namba 666.Je, asili ya namba 666 ni nini? Namba 666 inatoka wapi? Wengi wanasoma Biblia aukusikia kutoka kwenye Biblia watu wakitajanamba 666 lakini ni wachache sanawanafahamu kwamba namba 666 ilitoka wapi au kwa nini kitabu cha Ufunuokinazungumzia kuhusu namba hiyo na kwamba iko kinyume na Mungu. Lakini pia ninimaana ya namba 666? Watu wengi wanafikiri kwamba namba hiyo ni ya shetani, Je nikweli? Hebu tuangalie kwa ufupi historia yanamba hii kwamba ilitoka wapi.Namba 666 inatokana na ibada zilizokuwa zikifanywa na watu wa Babeli wakati wakipindi cha nabii Ibrahimu na nabii Danieli. Babeli ni mji na mnara uliojengwa naNimrodi mara baada ya gharika akiwa na makusudi makubwa mawili. Kusudi la kwanzailikuwa ni kuwalinda watu wa Babeli na gharika kwa kutumia mnara uliokusudiwa kufikambinguni kwenye miungu wa angani. Kusudi la pili lilikuwa ni kuwakusanya watuwotewakae mahali pamoja na kuwa na serikali na dini moja kinyume na mpango wa Munguwa kuijaza nchi. Mungu aliingilia kati na kukwamisha ujenzi wa mnara wa Babeli ingawaNimrodi alifanikiwa kufika mbinguni kimawazo na kupata miungu 36 ambazo nisayarina nyota. Makusudi hayo mawili yameendelea kufanya kazi hadi leo na hivi karibuniulimwengu wote utashuhudia serikali na dini moja ikimuabudu mungu jua ambayealikuwa ni mungu baba wa Wababeli. Watuwa Babeli waliabudu miungu iliyotokana nautafiti wa nyota—yaani unajimu (astrology). Hivyo watu wa Babeli wakawa na miunguambayo ni jua, mwezi, sayari zinazoonekana pamoja na nyota walizozigundua wakati wautafiti wa nyota. Watu wa Babeli ndio chimbuko la mwanzo wa unajimu wa nyotaambapo hata leo tunaona wanajimu wakitabiri kwa kutumia nyota. Wababeli walitumiahesabu pia katika shughuli zao za kila siku ikiwa ni pamoja na ibada zao.Kulikuwa na jumla ya miungu 36 na mungualiyekuwa mkuu alikuwa ni mungu juakwa sababu alichukuliwa kuwa ndiye baba wa mimgu wote. Wapagani wa Babeliwalikuwa wakiwaabudu miungu hao kwa sababu mbalimbali kama vile kupiga ramuli,kuomba kinga na hata kutoa utabiri wa wakati ujao kwa sababu waliamini kwambawotewalikuwa ni waovu hivyo waliwaogopa miungu wao.Watu wa Babeli waliamini kwamba namba zina nguvu kwa miungu waliokuwawanaabudiwa. Kila mungu kati ya miungu 36 alipewa namba yake iliyotumikakumuwalisha mungu na mahali pake (Rejea Murl Vance, Trail of the Serpent, uk. 26,27, 72). Namba aliyopewa mungu iliwakilisha nguvu aliyonayo mungu huyo. Kwa hiyonamba husika kwa mungu iliwakilisha ukuu wake ikimaanisha kwamba mungualiyepewa namba za awali alikuwa na nguvu kubwa kuliko aliyepewa namba za mbele.Kwa nini kulikuwa na miungu 36? Je, namba 36 ilitokana na nini? Wababeli walipataidadi ya miungu wao kuwa 36 kwa sababu kila mungu alitakiwa kuheshimiwa aukutawala kwa mzunguko wa nyuzi 10 au digrii 10 kwa mwaka na kwa vile mwaka unasiku 360 waligawa kwa 10 na kisha ikawa sababu ya kwanza kupata idadi ya miungu wao36. Lakini pia wanajimu au watafiti wa sayari na nyota waligundua jumla ya sayarinanyota 36 na kwa vile walikuwa wakiziabuduwakazifanya kuwa miungu wao. Nikutokana na miungu hao 36 Wababeli walifanya hesabu na kupata namba 666ikimaanisha mamlaka, nguvu na ukuu wa miungu wote 36.Watu wa Babeli walihesabu miungu wao kuanzia namba 1 hadi 36 na kishakujumlisha. Mungu wa kwanza alipewa namba 1 na mungu wa pili alipewa namba 2 nakuendelea. Mungu wa namba 1 alikuwa ni mungu jua na mungu namba 2 alikuwa nimungu mwezi. Miungu kuanzia namba 3 hadi 36 walikuwa ni watoto wa mungu juaambao walikuwa ni sayari na nyota zilizogunduliwa na wanajimu wa Babeli. Ndipowakajumlisha namba 1 hadi 36 na kupata namba 666. tazama hesabu hii kuhusu asili yanamba 666:1 + 2 + 3 + 4 + 5 + 6 + 7 + 8 + 9 + 10 + 11 + 12+ 13 + 14 + 15 + 16 + 17 + 18 + 19 + 20 + 21+ 22+ 23 + 24 + 25 + 26 + 27 + 28 + 29 + 30 + 31+ 32+ 33 + 34 + 35 + 36 = 666Umuhimu wa namba 36 kwa Wababeli ulisababishwa na mgawanyo wa ishara 12zinazoitwa ‘12 Zodiac signs’ sawa na miezi12 kwa mwaka na ishara hizo zilitokana naunajimu wa nyota na waligawa namba 36 katika mafungu matatu ya 12 Zodiac signs—12x 3 = 36. Wababeli waliamini kwamba mtu anapokufa anakwenda kwa mungu wake.Miungu hawa 36 waliitwa kwa jina la ‘Decans’ kwa pamoja kwa sababu kila mmojaalitakiwa kufanya kazi kwa digrii 10 katika mzunguko wa Zodiac kwa siku 10 katika siku360 za mwaka. Kila mtu alipewa kundi lake katika ishara 12 kutegemeana na mwezialiozaliwa na huo ukawa mwanzo wa utabiri wa maisha ya mtu kwa kutumia nyotazilizokuwa katika mafungu matatu (3) ya miezi 12 katika jumla ya miungu 36.Sayari 7 au joka lenye vichwa 7 ndilo lililotawala miungu hawa wote 36 walioitwaDecans na kati ya miungu hao aliyekuwa mtawala wa wote alikuwa ni mungu jua. Jumlaya namba 1 hadi 36 sawa na 666 iliitwa “The Grand Number of the Sun” yaani jumla kuuya hesabu ya jua.Kila mungu aliwakilishwa kwa alama na wakati wa ibada kila muumini alitakiwakuvaa hirizi inayomuwakilisha mungu wake kati ya miungu 36. Hivyo kulikuwa na aina36 za hirizi zilizowakilisha miungu 36. Hirizihizo zilitengenezwa kwa mfumo wa hesabu uitwao‘6×6 Matrix’ na mtu ambaye alikataa kuvaa hirizi iliaminiwa kuwa angepata majanga ya ugonjwa, njaa,mateso na kisha kifo.Wapagani wa Babeli walitakiwa kuvaa hiriziyenye namba na alama ya mungumhusika. Wakristo wachukua desturi hii kwa kuendelea kuvaa msalaba shingoniukiwakilisha alama ya mungu Ishtar. Unaweza kuangalia picha hii mwanamke akiwa amevaa suraya simba kichwani kumaanisha utawala waBabeli uliowakilishwa na simba (Danieli 7:4) na amevaa hirizishingoni yenye namba tofauti pamoja na mduara wenye jicho kifuani mwake uliowakilisha mungu juaaonaye kila mahali.Hirizi na alama ya mungu mhusikaHirizi hizo zilitengenezwa kwa mfumo wa hesabu uitwao ‘6×6 Matrix’ (rejea jedwali lahesabu za Illuminati)na mtu ambaye alikataa kuvaa hirizi na alama ya mungu wake iliaminiwa kuwa angepata majanga yaugonjwa, njaa, mateso na kisha kifo. Je, mtu alipata kujua vipi kwamba mungu fulani ni mungu wake? Watuwote waliwekwa kwenye mafungu matatu (3) ya ’12 Zodiac Signs’ kufuata mwezi aliozaliwa mtu husika nahivyo kulikuwa na makundi matatu (3) yaani kundi la kwanza watu wote waliozaliwa mwezi wa kwanza hadiwa nne, kundi la pili waliozaliwa mwezi wa tano hadi wa nane, la tatu mwezi wa tisa hadi wa kumi na mbili.Kila kundi likiwa na miezi mitatu lilileta namba 6, yaani 1+2+3 =6 na wakaweka makundi yote matatu pamojana kupata 666 ikimaanisha namba iliyowahusu watu wote kutokana na kuzaliwa kwao ndani ya miezi 12 yamwaka. Unaweza kuchunguza alama zinazotumika kwenye utabiri wa nyota utaziona zikiwakilisha ng`ombe,nge, samaki na kadhalika. Elimu hiyo ilitokana na miungu wa Babeli waliowakilishwa kwa alama na namba.Sayari 7 au joka lenye vichwa 7 ndilo lililotawala miungu hawa wote 36 walioitwa‘Decans’ na kati ya miungu hao aliyekuwa mtawala wa wote alikuwa ni mungu jua. Kwamfano kama mtu alivaa hirizi yenye namba2 ilimaanisha kuwa mungu wake ni mungu mwezi na hivyoalitakiwa awe na alama ya mungu mwezi akiwa amevaa shingoni mwake pamoja na hirizi na kama mtualivaa hirizi namba 1 alitakiwa kuvaa alamaya mduara iliyowakilisha mungu jua huku aliyevaa hiziri namba6 alivaa pamoja na alama ya msalaba ikiwakilisha mungu Ishtar.Kwa kutumia hesabu, Wababeli walifanikiwa kutengeneza jedwali lenye namba 1 hadi 36 ambapo nambahizo zikijumlishwa kwa pamoja katika kila msitari wowote unapata jumla ya 111 na kwa vile jedwali linamisitari 6 walizidisha 111 x 6 = 666.Namba iliyoandikwa kwenye hirizi ilimpa nguvu mvaaji zilizotoka kwa mungu aliyepewa namba hiyo.Nguvu ya mungu iliweza kuongezeka kwa kujumlisha namba ya mungu huyo na namba zingine katikamsitari na kupata namba 111 na mungu alizidi kupata nguvu zaidi kwa kuzidisha 111 x 6. Namba 666ilikuwa ni alama ya mamlaka ya miungu wote hivyo ilimaanisha kwamba ilikuwa na nguvu kwa miungu wote.Hapa chini ni jedwali lenye namba za miungu 36 wa Babeli.Kumbuka kwamba Wababeli walikuwa ni waabudu sanamu na hawakumuabudu Mungu wa kweli. Hatahivyo leo pia kuna ibada nyingi ambazo chimbuko lake ni ibada za sanamu kutoka Babeli.Jedwali la miungu 36 wa Babeli.6 32 3 34 35 17 11 27 28 8 3019 14 16 15 23 2418 20 22 21 17 1325 29 10 9 26 1236 5 33 4 2 31Zingatia kwamba namba 666 haiwezi kusimama peke yake bila kuhesabu miungumaana bila kuhesabu huwezi kupata jumla ya namba 666. Hivyo unapotaka kuielezeanamba 666 lazima ufanye hesabu na kisha upate jumla yake iwe 666. Hata hivyohaimzuii mtu kutumia njia nyingine ili kupata jumla ya 666, ila jambo muhimu nikwamba unatakiwa ujue asili ya namba 666 na kwamba ilipatikana kwa kujumlishamiungu wa Babeli na ndio maana Mungu wa Mbinguni anaihusisha namba 666 na Babelimaana chimbuko lake ni Babeli. Kwa watu wa Babeli, mungu aliyehitimisha hesabu nakufanya jumla iwe namba 666 ndiye aliyekuwa na nguvu hata kumshinda mungu juaambaye alikuwa ni baba wa miungu wote. Wakati Biblia inapotuambia kwamba mnyamaana namba 666 inatuambia kwamba namba 666 ilipatikana kwa kuhesabu na kujumlishamiungu na haimaanishi kwamba namba 666 inasimama peke yake. Kama hakuna miunguitakayohesabiwa, isingewezekana kupata jumla ya namba 666. Biblia inatuambia piakwamba hesabu inaanzia kwa mungu wa kwanza na kujumlisha namba ya miunguwanaofuatia na mungu ambaye angehitimisha hesabu kwa kufanya jumla iwe 666 munguhuyo angeweza kuwa na nguvu zaidi hata ya mungu wa kwanza maana yeye angetumianamba 666 yenye nguvu za miungu wote.Wababeli pia walikuwa na miungu saba (7—sayari 7) wa kwanza ambao ndiowalikuwa maarufu na ndio waliotumia majina ya siku kwa wiki kama ifuatavyo:JEDWALI LA SAYARI 7 SAWA NA MIUNGU 7 YA BABELI.Miungu Sayari/vichwa vya Joka/majina ya siku katika wikiJina la Sayari Jina la mungu wa Babeli Jinala siku kwa leoJua Shamash—namba 1 Sunday – jumapiliMwezi Sin—namba 2 Monday- jumatatuMars Nergal—namba3 Tuesday- jumanneMercury Nabu—namba 4 Wednesday- jumatanoJupiter Marduk—namba 5 Thursday- alihamisiVenus Ishtar—namba 6 Friday- ijumaaSaturn Ninib—namba 7 Saturday- jumamosiUnaweza kuona jinsi miungu hawa wa Babeli walivyoendelea kuabudiwa hata wakatiwa Ukristo maana baada ya karne nyingi kupita, wakati mtume Paulo na Barnabawalipotembelea Listra, walifanya muujiza wa kumponya mtu aliyekuwa kiwete. Watu wamji huo walikuwa waabudu miungu wa Babeli na mara baada ya kufanyika kwa muujizahuo, watu “wakapaza sauti zao wakisema kwa Kilikaonia, Miungu wametushukia kwamfano wa wanadamu. Wakamwita Barnaba, Zeu, na Paulo, Herme, kwa sababu ndiyealiyekuwa mnenaji”. Matendo 14:12. Unaposoma Biblia ya King James, jina Zeu ni sawana Jupiter, na Herme ni sawa na Mercury. Leo sayari au madini ya Mercury yanatumiwasana kwa ajili ya mawasiliano na ndio maana wapagani hao walimuita Paulo jina laMercury kwa sababu yeye ndiye alikuwa mnenaji. Ni kwa njia hiyo hata leo ibada zamiungu wa Babeli zinatawala ndani ya dini nyingi na waumini wengi hawajui kwambawanaabudu wasichokijua kama Yesu alivyomwambia yule mwanamke msamaria(Yohana 4:19-24). Sasa, utakapofahamu kweli hii, tafadhali itikia wito wa Munguanaposema, “Umeanguka, umeanguka Babeli….Tokeni kati yake enyi watu wangu”.Ufunuo 18:4.Unaweza kuangalia jinsi joka mwenye vichwa saba alivyoaminiwa na Wababeli kuwani miungu saba, kitu ambacho ni kweli ukilinganisha na Ufunuo 13na Ufunuo 17.Wababeli waliendelea na hesabu, wakajumlisha namba 1 hadi 3 yaani 1+2+3= 6 nakuhitimisha kwamba namba 6 inawakilishanguvu ya mungu baba (jua), mungu mama(mwezi) na mungu mwana (sayari ya mars). Kisha wakatumia namba 11 kujumlishamiungu namba 1 hadi 11 yaani 1+2+3+4…..+11 = 66 wakamaanisha kwamba namba 66ina nguvu za miungu 11 wa kuanzia namba1 hadi 11 na kisha wakajumlisha namba 1hadi 36 wakapata namba 666 ikimaanisha mamlaka na nguvu za miungu wote. Hapawalichukua namba 3, 11 na 36 na kuzifanya kuwa namba muhimu kwao. Bibliainatuambia kuhusu mfalme Nebukadneza wa Babeli kwamba “alifanya sanamu yadhahabu ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa 60 na upana wake dhiraa 6…” Danieli3:1. Nebukadneza alitumia hesanu za miungu wa Babeli ili kutengeneza sanamuikimaanisha kwamba alichukua miungu watatu yaani 1+2+3 = 6 kwa upana wa sanamuhiyo na kisha akazidisha kwa nyuzi 10 ya kila mungu katika mzunguko wa Zodiac signsna kisha kupata 6×10 = 60 kwa vipimo vya urefu wa sanamu hiyo.Kwa kifupi hiyo ndiyo asili ya namba 666 ikiwa inatokana na jumla ya miungu waWababeli ambao walikuwa miungu 36 na ukijulisha namba zote kuanzia 1 hadi 36 = 666.Kazi iliyopo sasa ni kutumia kanuni ya Wababeli ili tuweze kumjua mnyamaanayewakilishwa na namba 666 kwa leo maana hatimaye ulimwengu wote utamsujudiamnyama huyo badala ya kumuabudu Mungu. Tutaanza kwa kujifunza katika kitabu chaUfunuo na Danieli ili kuona ujumla wa jinsi ya kumtambua mnyama huyo.Tunasoma kwamba “Na watu wote wakaaojuu ya nchi wakamsujudu, kila ambayejina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-kondoo aliyechinjwa tangukuwekwa misingi ya dunia. Mtu akiwa na sikio na asikie. Hapa ndipo penye hekima. Yeyealiye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu.Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.” Ufunuo 13: 8,9; 18. Jambo muhimu nikwamba heasabu ya mnyama huyu inapatikana kwa kuhesabu, yaani 1, 2, 3,…nakadhalika na kwamba mnyama huyu ataabudiwa, lakini watakaomwabudu ni wale ambaomajina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha Mwana-kondoo, kwa maana nyingine niwale ambao hawatakwenda mbinguni, wale ambao hawakukubali kafara ya Mwanakondoo.Watu wengi leo wanaridhika kuandikwa majina yao kwenye vitabu vyamakanisa yao badala ya kujitahidi ili majina yao yaandikwe kwenye kitabu cha uzimacha Mwana-kondoo.Sasa ni jukumu na muhimu kwa kila mmoja wetu anayetaka jina lake liandikwe katikakitabu cha Mwana-kondoo kutambua kwamba jina lake litaandikwa kweny kitabuhichokwa masharti ya kutokumsujudia mnyama wa namba 666. Tunapaswa kujiuliza swalimoja muhimu, kwamba, nitawezaje kutokumsujudia mnyama huyo kama mimimwenyewe sijamfahamu jinsi anavyofanana, jinsi anavyofanya kazi yake na hatakufahamu mahali alipo? Jibu ni kwamba ni lazima umtambue huyo mnyama na kutambuakazi zake ndipo utafanikiwa kutokumsujudia na hivyo jina lako kuandikwa kwenyekitabu cha Mwana-kondoo.Lakini pia “Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokeachapa katika kipaji cha uso wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya ghadhabu yaMungu iliyotengenezwa pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake;naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele ya Mwanakondoo.”Ufunuo 14:9,10. Je, ni muhimu kweyu kujifunza ili tumtambue huyu mnyamamwenye namba 666? Kwa wale wanaotaka majina yao yaandikwe kwenye kitabu chaMwana-kondoo wataona umuhimu huo.Shetani amekuwa akitumia namba sita kuonyesha utawala wake maana katika viumbevyote vilivyoumbwa na Mungu hapa duniani, ni Adamu peke yake ndiye aliyeasisheriaya Mungu na Adamu huyo aliumbwa katikasiku ya sita. Hivyo Shetani akapata utawalawa dunia hii kupitia kiumbe aliyeumbwa siku ya sita (Mwanzo 2:26-31). Tangualipofukuzwa kutoka mbinguni Shetani amekuwa akimtumia mwanadamu kama wakalawake wa kufanya kazi ya kupotosha kazi yaMungu. Wakati wa utawala wa BabeliShetani alimtumia mfalme wa Babeli kama wakala wake na akamuagiza atengenezesanamu yenye vipimo vya namba sita: “Nebukadreza, mfalme, alifanya sanamu yadhahabu, ambayo urefu wake ulikuwa ni dhiraa sitini, na upana wake dhiraa sita,akaisimamisha katika uwanda wa Dura, katika wilaya ya Babeli.” Danieli 3:1. Baada yakutengeneza sanamu hiyo, iliamuriwa kwamba watu wote waisujudu na kuiabudusanamu hiyo atakayekataa sharti auwawe. Lakini walikuwepo vijana watatu ambaowalikubali kufa kuliko kuisujudu sanamu hiyo. Vijana hao walikataa kwa sababu majinayao yalikuwa yameandikwa kwenye kitabu cha Mwana-kondoo. Ndivyo itakavyokuwahivi karibuni watu wote ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha Mwanakondoowatamsujudia mnyama wa namba 666, na kwa kweli wengi wanamsujudiamnyama huyo, wengine wakiwa wanajua na wengine wakiwa hawajui. Hata hivyo uweunajua au hujui kitu muhimu ni kwamba wote wanaomsujudu huyo mnyama majinayaohayakuandikwa kwenye kitabu cha Mwana-kondoo.Hivyo basi limekuwa kusudi la Shetani kuuangamiza ulimwengu kupitia mnyama wanamba 666 na ni jambo muhimu kwetu kumfahamu mnyama huyo maana bilakumfahamu tutaangamizwa na Shetani kama Mungu anavyosema “Watu wanguwanaangamizwa kwa kukosa maarifa…..” Hosea 4:6. Haya si maarifa mengine bali yaleya kuweza kuihesabu hesabu ya mnyama, yaani mia sita sitini na sita maana Yohanaanatuambia pia kwamba, “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabuhesabu ya mnyama huyo…”Napenda tuelewe kwamba tunapojifunza habari za mnyama huyu tunajifunza habari zaibada ya kweli na ibada ya uongo maana mnyama huyu anaabudiwa pia. Hebu tuiruhususasa Biblia iweze kutuelezea habari zaidi za mnyama huyu. Tutaanza kwa kuchunguzamambo yanayokwenda sambamba na mnyama huyu kisha tutahakikisha kama tuko sawakwa kuihesabu hesabu ya mnyama. Biblia inasema:“Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi na vichwa saba, najuu ya vichwa vyake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru. 2.Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kamamiguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba; yule joka akampa nguvu zakena kiti chake cha enzi na uwezo mwingi. 3. Nikaona kimoja cha vichwa vyake kanakwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia yoteikamstajabia mnyama yule. 4. Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyamauwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ni nani afananaye na mnyamahuyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye? 5. Naye akapewa kinywa cha kunenamaneno makuu ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake miezi arobaininamiwili. 6. Akafunua kinywa chake amtukane Mungu, na kulitukana jina lake, na maskaniyake, nao wakaao mbinguni. 7. Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda,akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaana lugha na taifa. 8. Na watu wote wakaaojuu ya nchi wakamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzimacha mwanakondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia” Ufunuo 13: 1-8.a) Maelezo hayo yamejaa mafumbo au alama, je nitafahamujemafumbo na alama hizo?Tunahitaji kuiruhusu Biblia itafsiri mafumbo na alama ilizozisema. Tungetegemeakwamba, Mungu, kwa faida yetu, alifunua ndani ya Biblia maana ya mafumbo na alamahizi. Kwa hiyo, kile tunachohitaji ni usomajimakini ili tupate tafsiri ndani ya Biblia. Kwanjia hiyo, tunaepuka kukisia na ubahatishaji wa kibinadamu.Kwa hakika, Biblia inabatilisha kukisia na ubahatishaji wa kibinadamu kwa sababu“hakuna unabii …….upatao kutafsiriwa kama apendavyo mtu fulani tu” 2Petro 1:20.Biblia inajitafsiri yenyewe. Kwa mfano, kitabu cha Ufunuo kina jumla ya mafungu 404.Kati ya hayo, mafungu 278 yanapatikana neno kwa neno katika vitabu vingine vyaBiblia, ambapo maana yake inajieleza wazi zaidi.Kwa hiyo, tunakutia moyo kufanya kile Biblia inachotaka ufanye unapojifunza(Angalia Matendo17:10,11 watu wa Thesalonike “…walilipokea neno kwa usikivu,wakayachunguza Maandiko kila siku, waone kwamba mambo hayo ndivyo yalivyo”), naweka kila fundisho lipimwe na maandiko. Kwa vile, kila atakayejifunza Biblia kwakuomba, akitamani kufahamu kweli, ili aitii kweli hiyo, atafahamu maandiko. “Mtuakipenda kuyatenda mapenzi yake, atajua habari ya yale mafunzo, kwamba yatoka kwaMungu, au mimi nanena kwa nafsi yangu tu” Yohana 7:17b) Ni alama (au mafumbo) gani tunazohitaji kuzifunua?Kuna alama nyingi kwa ajili ya mnyama, hata hivyo, tutajikita zaidi kwenye zile ambazoni muhimu kwa ajili ya fundisho hili ili kumtambua mnyama, sanamu ya mnyama naalama ya mnyama.Alama hizi ni ‘mnyama’, ‘joka’, ‘bahari’, ‘miezi 42’, na ‘makufuru’.Mnyama: Katika unabii wa Biblia, mnyama ni alama ya mfalme au ufalme. “wanyamahao wakubwa, walio wanne, ni wafalme wanne….mnyama wa nne atakuwa ufalme wanne…”:Dan. 7:17,23.Kuhusu mnyama huyu, tunajifunza mnyama wa pekee kwa sababu siyo tu nguvu yakisiasa, bali pia ni mnyama mwenye dini, maana watu “walimsujudu huyo mnyama”.Ufunuo 13:4.Joka: Katika unabii wa Biblia, Joka ni jina jingine la shetani, baba wa uongo namachafuko. “yule joka akatupwa, yule mkubwa,….aitwaye ibilisi na shetani,audanganyae ulimwengu wote.” Hii ingemaanisha kwamba wakati shetani alipotoa“nguvu zake, kiti chake cha enzi, na uwezo mwingi” kwa mnyama, tunaweza kumtarajiamnyama akiwa na tabia ile ile ya shetani au joka, ya udanganyifu. Hivyo basi,udanganyifu mkubwa utaonekana katika tabia ya mnyama. Ufunuo 12:9; 13:2.Bahari: Katika unabii wa Biblia, bahari ni alama au kielelezo cha wingi wa watu tofautiau wingi wa watu mbalimbali. “….Maji ni jamaa, na makutano, na mataifa, na lugha”Ufunuo 17:15. Vilevile, ufalme huu wa pekee uliinuka kutoka baharini, ikimaanishakwamba ulitoka katika eneo la dunia ambalo lilikuwa na watu wengi wa mataifambalimbali.Miezi Arobaini na miwili: Kipindi hiki ni sawa sawa na miaka mitatu na nusu (42gawanya kwa miezi 12). Na Biblia iliandikwa kwa mujibu wa kalenda ya Kiyahudiambapo kila mwaka wa kiyahudi una siku 360 (yaani siku 30 kwa kila mwezi). Kwahiyo, miaka mitatu na nusu na miezi arobaini na miwili vyote ni sawa na siku 1260.Sababu inayotufanya tubadili miezi kwenda sambamba na siku zake ni kwamba, wakatiMungu alipotoa unabii, mara nyingi Amekuwa akilinganisha siku moja kwa mwakammoja. “….yaani, siku arobaini, kila siku kuhesabiwa mwaka, mtayachukua maovuyenu, ndiyo miaka arobaini…..” “…..siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja,nimekuagizia.” Hesabu14:34, Ezekieli 4:6.Kwa hiyo, miezi arobaini na miwili ya kiunabii inamaanisha miaka 1260 ambayomnyama alipewa “kinywa kunena maneno makuu, ya makufuru” na atafanya “vita nawatakatifu na kuwashinda: na akapewa uwezo kwa kila kabila, na jamaa, na lugha, nataifa.” Ufunuo 13:5,7… Ikimaanisha kwamba katika kipindi hiki cha miaka 1260,mnyama atakufuru, atatesa wakristo, na atakuwa na uwezo mkuu.Makufuru: Katika Biblia, makufuru yameelezewa katika namna mbili, ya kwanza nipale mtu anapodai kuwa yeye ni Mungu aumuwakilishi wake. “…kwa ajili ya kazinjema, hatukupigi mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamuwajifanya mwenyewe u Mungu.” Yohana 10:33. Kwa hiyo, mnyama, ambaye ni mwenyemamlaka ya kisiasa na kidini, anamkufuru Mungu kwa kujiweka mahali pa Mungu hapaDuniani. Hata hivyo, wayahudi hawakumwelewa Yesu kuwa ndiye masihi, mwana waMungu, sawa na Mungu, ambaye ni Mungu, tofauti na mwanadamu mwingine yeyoteasiye sawa na Mungu, na hivyo Yesu hakukufuru. Namna ya pili ya kukufuru, ni kujipauwezo wa kusamehe dhambi za watu. “Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni naniawezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?” Marko 2:7Hata hivyo, Yesu alikuwa na uwezo wa kusamehe dhambi maana Yeye ni Mungu.Mnyama huyu, mwenye nguvu za kisiasa na kidini, amemkufuru Mungu, sio tu kwakuchukua mahali pa Mungu hapa duniani, lakini pia kwa kudai kuwa na uwezo na hakiya kusamehe dhambi. Hivyo si ajabu kuwa mnyama ana “majina ya makufuru” naananena “makufuru dhidi ya Mungu na jinalake” . Hii ni kwa sababu mnyama anadaikuwa na nguvu ambayo ni haki ya pekee yaMungu tu. Ufunuo 13:1,6.Baada ya kuiruhusu Biblia ijitafsiri yenyewe, tunaweza sasa kuwa na funguo tisazitakazotusaidia kumtambua mnyama. Hata hivyo, hizi si funguo pekee za kumtambuamnyama, zipo nyingi zaidi ndani ya Biblia. Tunatumaini muungano huu wa funguo zautambuzi zitakuongoza kusoma na kujifunza zaidi Biblia ili uweze kupata funguo zaidi.(1) Mnyama ana mamlaka ya kisiasa na kidini kwa wakati mmoja, “wakamsujudu yulemnyama…..” Ufu. 13:4 (2) Mnyama alitoka kwenye eneo hapa duniani lenye watuwengi wa mataifa “ …nikaona mnyama akitoka katika bahari.” Ufu.13:1 (3) Mnyamaalipata nguvu na mamlaka yake kutoka kwa shetani. “…yule joka akampa nguvu zake nakiti chake cha enzi na uwezo mwingi.” (4) Mnyama alitawala kwa mateso makali kwamda wa miaka 1260. “…akapewa kinywa kunena maneno ya makufuru. Akapewa uwezokufanya kazi yake miezi arobaini na miwili.”Ufu.13:5. (5) Mnyama aliwatesawatakatifu kwa miaka 1260 na kuwashinda.Ufu. 13:7 (6) Mnyama atapona jeraha lake lamauti “…na pigo lake la mauti likapona.” Ufu. 13:3 (7) Mnyama ana hesabu yakibinadamu 666 inayotambulisha ofisi yake. “…na aihesabu hesabu ya mnyama huyo. Nahesabu yake ni mia sita, sitini na sita.” Ufu.13:18 (8) Mnyama anakufuru kwa kudaianasamehe dhambi na kuchukua nafasi yaMungu hapa duniani. (9) Mnyama amefanyamakufuru mengine kwa vitendo vyake dhidi ya Mungu. “naye akapewa kinywa chakunena maneno makuu, ya makufuru.” Ufu.13:5. Hizo ndizo sifa za mnyama wa ajabumwenye namba 666. Sasa tunaweza kumtambua mnyama huyo kutokana na sifa zakekwamba ni taifa ambalo lina utawala wa kisiasa na kidini pia. Haishangazi leo pia kuonanchi nyingi zikitambuliwa kutokana na kuwakilishwa na wanyama. Kwa mfano Tanzaniainawakilishwa na mnyama aitwaye Twiga, Marekani inawakilishwa na ndege aitwayeTai, Urusi inawakilishwa na Dubu, China inawakilishwa na Joka (Dragon), Kenyainawakilishwa na Jogoo nk.Kwa nini mataifa huwakilishwa na wanyama? Maana yake ni nini? Tunasomakwamba “Naliona katika maono yangu wakati wa usiku; na tazama, hizo pepo nnezambinguni zikavuma kwa nguvu juu ya bahari kubwa. Ndipo wanyama wakubwa wannewakatokea baharini, wote wa namna mbalimbali. Wa kwanza alikuwa kama Simba…wapili kama dubu, ….mwingine kama chui….mnyama wa nne mwenye kutisha.”Danieli7:2-7. Pia tunasoma “Na yule mnyama niliyemuona alikuwa mfano wa chui, na miguuyake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha Simba….”Ufunuo 13:2. Sababu ya kusoma mafungu hayo mawili ni kwamba katika Danielitunakuta wanyama wanne tofauti wakati katika Ufunuo tunakuta mnyama mmojamwenye alama za wanyama wanne wa Danieli. Huyu mnyama wa Ufunuo ni sawa namnyama wa nne katika Daniel ambaye anatamkwa kuwa ni mwenye kutisha, maanayake ni kwa sababu alikuwa na tabia za wanyama watatu waliomtangulia kutokea.Ukweli ni kwamba wanyama wa Danieli 7 nifalme nne kama inavyojitafsiri, yaaniBabeli, Uyunani au Greece, Umedi na Uajemi na Rumi au Roman Empire. Hizo nitawala zilizowahi kutawala dunia nzima. Baada ya Roman Empire alifuatia mnyama waufunuo 13:1-10 ambao ni utawala wa Rumi ya kidini iliyotawala kwa miaka 1260kuanzia mwaka 538-1798. Utawala huo ulikuwa na tabia ya tawala zilizoutangulia. i)Simba: utawala unaowakilishwa na simba humaanisha kuwa na ujasiri mkubwa;“Simba aliye hodari kupita wanyama wote; wala hajiepushi na aliye yote.” Mithali30:30. ii) Dubu: Utawala unaowakilishwa naDubu hufanana kwa kiasi fulani nautawala unaowakilishwa na Simba; “Bwanaaliyeniokoa katika makucha ya simba namakucha ya dubu ataniokoa…” 1 Samweli 17:37. Pia soma Isaya 11:7. iii) Chui:Utawala unaowakilishwa na mnyama chui humaanisha utawala wa kuvizia naunaopenda vita kama vile simba na dubu; “Basi nimekuwa kama simba kwao; kamachui nitavizia njiani; nitakuwa nao kama dubu aliyenyang`wanywa watoto wake; naminitararua nyama ya mioyo yao, na huko nitawala kama simba; huyo mnyama mkaliatawararua.” Hosea 13:7-8. Hizo ndizo zilikuwa tabia za falme nne zilizotawala duniayote. Sasa unaweza kuona kuwa Marekani kuwakilishwa na tai inamaanisha kuwa natabia ya tai; “Farasi zao ni wepesi kuliko chui, ni wakali kuliko mbwa-mwitu wa jioni;na wapanda farasi wao hujitupa naam, wapanda farasi wao watoka mbali sana;huruka kama tai afanyaye haraka.” Habakuki 1:8. Taifa la Marekani lilianzishwakatika karne ya 18 wakati wa kipindi cha utawala wa mnyama wa 666 ambapotunasoma kwamba mnyama huyo (Marekani) alitokea katika nchi ikimaanishakuwakatika eneo ambalo halikuwa na watu. Wakati wa mateso ya mnyama wa 666 ndipowatu walipokimbilia katika bara la Amerika wakitoka ulaya na mabara mengine namnamo July 4, 1776 Marekani ikapata uhuru chini ya Rais wa tatu aliyeitwa ThomasJafferson. Marekani kuwakilishwa na tai inamaanisha kwamba ni taifa linalofanyaharaka kuruka kama tai na kwenda mbali zaidi lengo likiwa ni kushambulia. Tai nindege mkubwa anayekula nyama; hivyo ndio maana tunashuhudia tukiona taifa laMarekani likivamia nchi yoyote duniani na hivi karibuni tutaona Marekaniikiishambulia Iran baada ya kuipiga Iraq. Kumbuka kuwa utawala wa Umedi na Uajemiulikuwa katika maeneo ambayo leo kuna nchi za Iraq na Iran.Tanzania kuwakilishwa na twiga; tunafahamu tabia ya twiga alivyo mpole, mnyamaasiyependa makuu tena anayependa kula majani ya juu kabisa ambayo hayajaguswatena yaliyo laini. Je, si kweli kwamba watanzania pia hawapendi ugomvi na ndiomaanakuna amani? Maana kila nchi inayowakilishwa na mnyama ina tabia ya huyo mnyama;kwa mfano jirani zetu Kenya wanawakilishwa na jogoo, tunafahamu tabia ya jogookwamba hapendi kushindwa na jogoo mwenzake, huoni chaguzi za Kenya hutawaliwana fujo na kutokukubali kushindwa(?). China inawakilishwa na dragon au joka. Jokakatika Biblia ni ibilisi na shetani; ukweli ni kwamba China ni nchi isiyotambua uwepowa Mungu, kumbuka enzi za Mao na siasa za Ukomunist, na ndiyo sababu iliyomfanyaShetani afukuzwe mbinguni. Wachambuzi wa habari wanasema kuwa China na Asiakwa ujumla ndiko wanakopatikana Freemason wengi kuliko maeneo mengine duniani,haishangazi kuona uchumi wa China unakua kwa kasi maana kila anayemkubalimnyama wa 666 atapata utajiri mkubwa. Tena inasemekana kuwa China ndiyo nchiinayayoongoza katika ulimwengu kwa kunyonga raia wake – na hiyo kwa kifupi nitabia ya joka – ibilisi na Shetani. Hivyo nchi huwakilishwa na wanyama kutokana natabia ya wanyama hao na nchi husika huwa na tabia hiyo.Sasa tutatumia kanuni asili kutoka kwa Wababeli jinsi ya kuipata namba 666 ilitulinganishe na maelezo hapo juu tuone kama tuko sawa au la.Biblia inasema “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabuya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitinina sita.” Ufunuo 13:18.Nini Na ni Nani Illuminati?Dr. Adam Weishaupt (1748 – 1830)Baada ya kumuona mnyama anayetambulika kwa namba 666, sura hii inaanza kwakuwaelezea THE ILLUMINATI, kundi ambalo ni hatari zaidi katika mchakato mzima wakuharibu maadili na kuwafanya watu wamwabudu Lucifer – yaani Shetani aliye baba wauongo katika ulimwengu huu – Yohana 8:44.Kuna wakati ambapo Mungu alimtoa mwokozi wa taifa la Israeli kwa kuwapa mtumwenye nguvu nyingi kuliko watu wote duniani. Mungu alimwambia mnadhiri wakeSamson kwamba asiseme na iwe siri kwake kuhusu asili ya nguvu zake. Ni kwa njia hiyohiyo ya kuficha asili ya nguvu zao, Illuminati wamefanikiwa kuutawala ulimwengu. Waowanasema kwamba:“The great strength of our Order lies in its concealment; let it never appear in anyplace in its own name, but always concealed by another name, and another occupation.None is fitter than the lower degrees of Freemasonry; the public is accustomed to it,expects little from it, and therefore takes little notice of it. Next to this, the form of alearned or literary society is best suited to our purpose, and had Freemasonry notexisted, this cover wouldn’t have been employed; and it may be much more than a cover,it may be a powerful engine in our hands… A Literary Society is the most proper form forthe introduction of our Order into any statewhere we are yet strangers.” (JohnRobinson’s “Proofs of a Conspiracy” 1798, Boston, 1967, p. 112)“Nguvu kubwa ya utaratibu wetu inapatikana kwa kuuficha utaratibu huo, hebuisionekane mahali popote kwa jina lake, lakini daima ifichwe kwa jina lingine, na kazinyingine. Hakuna anayefaa kama Freemason wa digrii za chini; jamii inafanya kazipamoja na hao, ina matarajio kidogo kutoka kwao, na kwa hiyo haina habari nao.Wanaofuatia kwa hawa ni jamii ya watu waliosoma maana wanafaa kwa ajili yamalengo yetu, na kama Freemason isingekuwepo, njia hii ya kujificha isingetumika; naingekuwa ni zaidi ya kujificha, ingekuwa ni injini yenye nguvu mikononi mwetu…jamii yawasomi ni njia inayofaa zaidi kwa kuelezeataratibu zetu katika taifa lolote mahaliambapo sisi bado tu wageni.” (John Robinson’s “Proofs of a Conspiracy” 1798, Boston,1967, p. 112)Hivyo unaweza ukawa na jamii ya Illuminati na freemason wakiwa wanafanyakazikwa majina mengine na sio majina ya Illuminati na Freemason na hapo ndipo nguvu yaoilipo. Watu wengi wameshindwa kuwatambua kwa sababu ya kujificha kwao. Kwa niniwanajificha? Kwa sababu wanajua kwamba wanachokifanya si halali na wala hakitokanina mapenzi ya Mungu. wanatumia jamii ya watu wasomi ili kufanikisha malengo yao.Huwezi kuwazungumzia Illuminati bila kumfahamu Dr. Adam Weishaupt na huwezikuwazungumzia freemasons bila kumfahamu na kumtaja Dr. Albert Pike.Unapofanya utafiti wa Illuminati na freemason katika mtazamo mzima wa ‘New WorldOrder ’, unapaswa kujua kanuni tatu ( 3) muhimu ambazo ndizo msingi wafreemason/illuminati: 1)Thesis x Antithesis = Synthesis; 2) Hesabu na namba zafreemason; na 3)Alama na ishara za freemason. Huwezi kuelezea freemason kwa ufasahakama hutazingatia kanuni hizo tatu. ‘Thesis x Antithesis = Synthesis’ ndiyo kanuniinayotawala kwa freemason na kutekelezeka kwake kunategemea hesabu na nambapamoja na alama na ishara za freemason. Kwa nini wanatumia kanuni ya alama naishara? wanasema “By symbols…is a man guided and commanded… ” wakimaanishakuwa “watu huamrishwa na kuongozwa kwa kutumia alama”. Ndio maana hata wauminiwengi wanaongozwa kwa kutumia alama ama ya nyota ya pentagram, jua, mwezi aumsalaba. Kwa nini wanatumia kanuni ya namba? Kwa sababu “Occultists WorshipNumbers and numbers have power”. Hivyokama umepungukiwa na moja ya kanuni hizoni wazi kwamba utafiti wako utapungua pia.Dr. Adam Weishaupt alikuwa ni Profesor wa somo linaloitwa ‘cannon law’ katikaChuo Kikuu cha Ingolstadt huko Bavari. Alipata elimu yake kutoka katika shirikaliitwalo ‘Jesuit Society’ na akawa Padre wa shirika hilo. Baadaye alitoka katika shirikahilo na akajiunga na chama cha siri kiitwacho Rosicrucian na akajifunza uchawi wawayahudi uitwao Qabbala na ndipo alipoanzisha mpango wake uitwao ‘Order of theIlluminati’ mnamo tarehe 01/05/1776 huko Bavaria. (Rejea, John Robison, A.M., Proofsof a Conspiracy, p 63; Nesta H. Webster, The French Revolution, p 20).Weishaupt alianzisha kikundi cha Illuminati kwa misingi ya utaratibu wa Jesuit (Jesuitorder). Illuminati ni chama cha siri na kina mpango wa kuangusha serikali na dini zoteulimwengu kisha kuanzisha serikali na dinimoja wanayoiita ‘New World Order’.Weishaupt alianzisha chama cha Illuminatiakiwa na wenzake wakiwa watano,Weishaupt, Kollmer, Francis Dashwood, Alphonse Donatien DeSade na Meyer AmschelRothschild. Illuminati iliundwa kwa kusomea digrii tatu za awali ambazo ni Novice,Minerval, na Illuminated Minerval; zikifuatautaratibu wa chama cha Jesuits nafreemasons. Wanachama wote walitakiwa kubadili majina yao na kutuma majina ya diniyao ambapo Weishaupt aliitwa “Spartacus”msaidizi wake, Xavier von Zwack, aliitwa“Cato”; Nicolai, akaitwa “Lucian”; ProfessorWestenreider akaitwa “Pythagoras”; CanonHertel akaitwa “Marius”; Marquis di Constanza akaitwa “Diomedes”; Massenhausenakaitwa “Ajar”; Baron von Schroeckenstein akaitwa “Mohomed”; na Baron vonMengenhofen “Sylla.” Makao makuu yalikuwa huko Munich, Ujerumani, yakijulikanakama ‘the Grand Lodge of the Illuminati’ (au Lodge of the Grand Orient), na kupewa jinala “Athens.” Vituo vingine vilikuwa huko Ingolstadt pakipewa jina la “Ephesus,”Heidelberg jina la “Utica,” Bavaria kama “Achaia,” na Frankfurt pakajulikana kama“Thebes.”Ili kufanikisha lengo lao, waliweka mkakati ufuatao kama ilivyoandikwa na NestaWebster kwenye kitabu kiitwacho “World Revolution” uk. 22, wakiwa na malengo sita:1. Kukomesha utawala wa kifalme2. Kukomesha umiliki wa mtu binafsi3. Kukomesha urithi4. Kukomesha utawala na utumishi wa serikali za nchi5. Kukomesha ndoa na familia kwa kuwekandoa za mikataba na kuanzisha elimu yawatoto kwa wote itakayosimamiwa na serikali moja.6. Kukomesha dini na kuanzisha dini moja yenye mchanganyiko wa imani.Ili kutekeleza mpango huu na kisha kutimiza malengo hayo, Weishaupt alitambuakwamba anahitaji nguvu zisizo za kawaida ili kufanikiwa kuharibu ustaraabu wa nchi zamagharibi, ambapo nchi hizo zilikuwa na imani ya Kikristo. Hatua ya kwanza ilikuwa nikutengeneza alama ya utambulisho wa Illuminati na akabuni Piramidi likiwa na jicho nakuweka maneno ya kilatini juu yake “AnnuitCoeptus” yakimaanisha “kutangazakuzaliwa kwa” na chini ya Piramidi akaweka maneno “Novus Ordo Seclorum”yakimaanisha “Mpango mpya wa Ulimwengu” (Rejea “The New World Order”,A. RalphEpperson, p. 108-112). Kisha akafanikiwa kuweka umbo hilo la Piramidi nyuma ya Dollamoja ya Kimarekani.Weishaupt alitambua kwamba ingekuwa vigumu kufanikisha mipango yake ikiwaulimwengu utaendelea kuwa na amani na hivyo akaamua kuanzisha utaratibuutakaopingana na imani ya wakati huo kwakanuni ya “Ordo ab chao” yaani “Order Outof Chaos” ikimaanisha kuanzisha “machafuko yaliyopangiliwa”. Mataifa ya magharibiwakati huo yalitawaliwa na serikali katika mfumo wa Thesis. Weishaupt aliamuakuanzisha mfumo pinzani na Thesis ambao ni Antithesis. Mifumo hii miwili ilianzakupingana (kupigana vita) na hili lilipelekeakuzaliwa kwa ya mfumo mpya (hybrid)unaoitwa Synthesis ambalo ndilo lengo la Illuminati. Weishaupt akaweka kanuni ya‘Order out of Chaos’.Hebu tuangalie maana ya maneno hayo:•  Thesis – Ni mfumo uliotawala Ulaya miaka ya 1700. Mfumo huu ulikuwa hivi:Kiuchumi umiliki wa mali ulikuwa wa mtu au ubepari (economically PrivateEnterprise), Kisiasa ulikuwa wa kifalme au demokrasia (politically eitherMonarchy or Democracy), na kidini ulifuataUkristo (religiously Judeo-Christian)•  Anti-Thesis – Huu ni mfumo kinyume na Thesis na ndio unaopelekea kuzaliwakwa mfumo unaoitwa Synthesis kutokana na kupinga mfumo wa Thesis.Kiuchumi ulitawaliwa na Ujamaa (Communism), Kisiasa ulitawaliwa na Udiktetana kidini ulitawaliwa na kutokuamini uwepo wa Mungu (Ukomunist).Mfumo wa Thesis ulikuwa na nguvu nchiniMarekani na ndipo Illuminati waliona nivema kuanzisha taifa lenye mfumo wa Antithesis litakalokuwa na nguvu kubwa nakupingana na taifa la Marekani. Ndipo taifala Urusi likaanzishwa kwa kupewa nguvubaada ya vita kuu ya kwanza ya dunia na ya pili. Wakati Marekani ilifuata mfumo waKibepari kiuchumi, Ukristo kidini na demokrasia kisiasa, Urusi ilifuata mfumo waKijamaa kiuchumi, aethitic kidini na Udikteta kisiasa. Mwaka mmoja kabla yakumalizika vita kuu ya pili ya dunia ulifanyika mkutano wa viongozi wakuu watatumwaka 1944 huko Yalta. Viongozi hao waliunda pembe tatu (Piramidi) na walikuwa nirais wa Marekani Franklin Roosevelt, wazirimkuu wa Uingereza Winston Churchill naDikteta wa Kikomunist Josef Stalin wa Urusi. Viongozi hao walikutana ili kuwekautaratibu wa utekelezwaji wa mipango ya ulimwengu kuhusu serikali na dini zote. Kilammoja anakumbuka vita baridi kati ya Marekani na Urusi ambapo hadi sasa vita hiyoimemalizika kwa hesabu hii: Thesis x Antithesis = Synthesis.Moja ya kanuni za ‘Order of the Illuminati’ inatokana na uchawi wa wa Simon Magusuliochanganywa na Ukristo. Lakini pia kanuni hiyo ilitoka katika kundi moja liitwalo‘Wanikolai’ ambao walikuwa wafuasi wa mmoja wa mashemasi saba aitwaye Nikolai wakanisa la awali la Kikristo (Ufunuo 2:14,15), [Rejea Grolier’s Encyclopedia, vol 9, p 374(1944). The New Age Movement and the Illuminati–666, p 94-95, published by TheInstitute of Religious Knowledge].Illuminati wanapata wapi nuru yao? Wanapata nuru kutoka katika Filosofia yaUgiriki. Na je filosofia ya Ugiriki inapata wapi nuru hiyo? “The individual who becamespiritually or intellectually enlightened in the ancient Babylonian Mysteries was…calledan Illuminated.” [Institute, 666, p 92]Kwamba mtu aliyepata ujuzi wa kiroho huko Babeli aliitwa “an Illuminated” yaanialiyevuviwa nuru.Neno Lucifer kwa Kilatin linamaanisha “Light –Bearer” yaani mwenye nuru; nenoTitan kwa Kigiriki lina maanisha “mungu Jua” na katika kitabu kiitwacho young`sConcordance to the Bible” ukurasa wa 806,neno Lucifer limetafsiriwa kama“Illuminated One” au “Shining One” yaani aliyevuviwa nuru. Hivyo Illuminati wanapatanuru yao kutoka kwa shetani au mungu jua.Weishaupt anakubaliana na hili ndio maana akaandika kwamba:“This is the great object [uniting all the world into one] held out by this Association: andthe means of attaining it is Illumination, enlightening the understanding by the sunofreason….The Flaming Star is the Torch of Reason. Those who possess this knowledge areindeed Illuminati.” [Robison, Proofs, p 64, 93.]Hebu tusitishe kwa muda mfupi kuwatazama Illuminati ili tupate nafasi ya kuliangaliakundi la ‘Jesuit Society’ maana wao ndio waliomfundisha Adam Weishaupt ambaye nimuasisi wa Illuminati.Shirika la Jesuits lilianzishwa na Ignatius Loyola aliyezaliwa mwaka 1491 nakufariki Julai 31, 1556. Sherehe ya Ignatius Loyola hufanyika kila ifikapo Julai 31 ya kilamwaka, siku aliyokufa. Mkuu wa shirika la Jesuit anaitwa “Black Pope” yaani “PapaMweusi.” Hapa haimaanishi kuwa mkuu huyo anatakiwa awe wa rangi nyeusi yaanimwafrika bali neno ‘black’ linamaanisha ‘asiyeonekana,’ na kwa maana hiyo JesuitSociety wanafanya kazi za siri, zisizoonekana, tena za giza ambazo ni kinyume na nuruya neno la Mungu.Shirika hili lilianzishwa ikiwa ni matokeo yakanisa Katoliki kupiga vita uprotestant.Kujitoa kwa Loyola katika kulitumika kanisa kunaweza kuonekana kwenye kanuni 13 zashirika la Jesuits zinazolihusu kanisa; “Rules for thinking with the church” anaposema “Iwill believe that the white that I see is black if the hierarchical Church so defines it”.Kwamba “nitaamini rangi nyeupe ninayoina kuwa ni nyeusi kama mfumo wa uongozi wakanisa utatafsri hivyo.” Na ndivyo ilivyo katika shirika hili ya kwamba mtu anapaswakuamini na kufanyia kazi kile anachofundishwa na kanisa hata kama dhamira yakeinamwambia kuwa hicho si sahihi. Hebu soma nukuu hizi ili tuone chanzo cha chama chaJesuits:“Kuinuka kwa dhama za giza kulitokana na kuruhusu Biblia ipatikane kwa urahisi hatakwa watu wa kawaida na mafundisho ya waprotestant wanamatengenzo. Mafundishohaya yalikuwa na msingi wa kutafsiri unabii kutokana na historia; yaani kuwakilisha siku1260 za Danieli na Ufunuo kuwa miaka 1260. Viongozi wa matengenezo kama Luther,Calvin, Huss, Wycliff, Knox, Latimer, Cranmer, Ridley, Hooker, Newton na wenginewaliamini hivyo na kufundisha.” Ibid p 7.“Kwa kutumia mbinu hii ya kutafsiri unabii, kanisa la Roma lilionekana wazi kuhusikana unabii huu wa pembe ndogo katika Daniel 7, na mnyama wa Ufunuo 13:1, mwanamkewa Ufunuo 17, ikiwa ni pamoja na kichwa cha kanisa kuwakilisha Mtu wa Kuasi wa 2Wathesalonike 2. Kadri mafundisho haya yalivyozidi, kanisa la Roma lililazimikakujilinda dhidi ya kuongezeka kwa ushahidi wa unabii wa Biblia kulihusisha kanisa hilo.Hivyo upapa ukaanza kuweka mipango ya kuwapinga waprotestant kwa kuanzisha‘Jesuit society’ ili kisaidie kufundisha mafundisho ya kanisa na kuharibu mafundisho navitabu vyote vilivyokuwa kinyume na kanisa na kuanzisha “Holy Office of theInquisition” maalumu kwa ajili ya kuwatesahata kuwaua wapinzani wa kanisa.” Ibid. pp126, 127.Kati ya mwaka 1524 na mwaka 1537 Loyolaalisomea Theology huko Hispania naUfaransa. Mwaka 1534 alifika Ufaransa wakati wa kipindi cha mapambano dhidi yauprotestant, mapambano ambayo yalimfanya John Calvin akimbie kutoka Ufaransa.Mwaka 1539, Loyola akiwa na wenzake walifanikiwa kuanzisha muungano na kuuita‘Society of Jesus’. Mwaka uliofuata yaani 1540 chama hicho kikapewa baraka na PapaYohana III na ilipofika mwaka 1548 Papa huyo akatoa kibali kwa Society of Jesus ilikiweze kushughulika na maswala ya kiroho. Loyola alikufa mnamo Julai 31, 1556 naakabarikiwa na Papa Paul V mwaka Julai 27, 1609, akapewa hadhi ya utakatifu Machi12, 1622 na Papa Gregory XV na akatangazwa kuwa kiongozi wa maswala la kirohomwaka 1922 na Papa Pius XI.Jina kamili la Loyola lilikuwa ni Íñigo akiwani mtoto wa mwisho kati ya watoto 13.Baada ya kifo cha mama yake mwaka 1506Íñigo alichukua jina la mwisho “de Loyola”kutokana na jina la mji ulioitwa Loyola ambako alizaliwa. Akaamua kutumia jina la“Ignatius of Loyola” yaani Ignatius anayetokea mji wa Loyola.Mwaka 1534 aliwakusanya marafiki zake sita ambao alikutana nao chuo kikuu wakiwani wanafunzi wenzake ambao ni Francis Xavier, Alfonso Salmeron, Diego Laynez naNicholas Bobadilla wote wakiwa ni Wahispania; Peter Faber akiwa ni Mfaransa; naSimao Rodrigues aliyekuwa Mreno. Asubuhi ya tarehe 15 Agust 1534, katika kanisa laOur Lady of the Martyrs huko Montmartre, Loyola akiwa na wenzake sita ambapommoja wa marafiki hao alikuwa ni padre, waliapa kutumika maisha yao yote. Ignatiusakawa ndiye kiongozi mkuu (Superior General) wa chama cha Yesu – Society of Jesus.Yeye ndiye aliyetunga katiba ya chama hicho mwaka 1540. Nukuu muhimu tunayowezakuichukua kutoka kwa Ignatius wa Loyola ni hii:“That we may be altogether of the same mind and in conformity with the Church herself,if she shall have defined anything to be black which appears to our eyes to be white, weought in like manner to pronounce it to be black. For we must undoubtingly believe, thatthe Spirit of our Lord Jesus Christ, and the Spirit of the Orthodox Church His Spouse, bywhich Spirit we are governed and directed to Salvation, is the same.” [Ignatius Loyola,Spiritual Exercises, Rule 13 Henry Bettenson, ed., Documents of the ChristianChurch,2nd ed. (London: Oxford University Press, 1963), p. 260.]“Kwamba wote tuwe na nia moja na kukubaliana na kanisa, kama limetafsiri kituchochote kuwa ni cheusi wakati kinaonekana machoni mwetu kuwa ni cheupe, tunapaswakukitangaza kuwa ni cheusi. Maana bila shaka tunapaswa kuamini, kwamba roho wabwana wetu Yesu kristo, na roho wa kanisa la Orthodox ndugu yake, roho ambayeanatuongoza katika wokovu, ni yule yule.” [Ignatius Loyola, Spiritual Exercises, Rule 13Henry Bettenson, ed., Documents of the Christian Church, 2nd ed. (London: OxfordUniversity Press, 1963), p. 260.]Kwa mujibu wa Ignatius Loyola, kanisa Katoliki na kanisa la Orthodox ni ndugummoja na wote wanaongozwa na roho mmoja. Lakini pia tunaweza kujiuliza kwa niniLoyola atumie rangi nyeusi hata kama ni nyeupe? Jibu ni kwamba alikuwa anaongeleakiongozi mkuu wa chama hicho cha Jesuits ambaye anaitwa ‘black Pope’ yaaniPapamweusi. Lakini pia Loyola aliweka kanuni 13 za kuongoza chama cha Jesuits. Katikasura zitakazofuatia tutaona jinsi Illuminati wanavyoabudu namba ikiwepo namba 13 nakuna uhusiano mkuwa sana kati ya Jesuits, Illuminati na Freemasons, wote wakiwa niwatumishi wa mnyama wa namba 666.Ni utaratibu gani unafanyika wakati mtu anapotaka kuwa mwanachama wa “JesuitSociety?” Kama tutakavyoona, utaratibu wa kujiunga na chama cha Jesuits unafanana nautaratibu wa kujiunga na freemason. Cha ajabu ni kwamba baadhi ya madhehebu namakanisa yanafuata utaratibu huo wakati waumini, na hasa viongozi kama watawa,wachugaji, maaskofu nk wanapopewa nafasi hizo kwa mara ya kwanza japo Bibliainakataza wazi kutumia utaratibu kama huo.Wakati mtu anapotaka kujiunga na chama cha Jesuits anatakiwa, pamoja na mambomengine, kutoa viapo vya utii katika chamahicho, kiongozi wa chama hicho na kiongoziwa kanisa. Kabla ya kusoma viapo vya Jesuits, hebu tuiulize Biblia kuhusu viapo.“Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizieBwananyapo zako; lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maanandicho kiti cha enzi cha Mungu; wala kwa nchi, kwa maana ndiyo pa kuweka miguuyake…wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kufanya unywele mmoja kuwamweupe au mweusi…..kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu.” Mathayo5:33-37. “Lakini zaidi ya yote, ndugu zangu,msiape….msije mkaangukia hukumu.”Yakobo 5:12.Biblia inakataza kuapa kwa aina yoyote ile, hivyo kama Jesuits wanaapa wanafanyahivyo kwa sababu wako kinyume na Biblia. Hata hivyo yapo madhehebu mengi yaliyo nautaratibu wa kuapisha viongozi wao ikiwa ni wachungaji, maaskofu, mapadri kilawanapowekwa wakfu kwa ajili ya kazi za kanisa husika. Chunguza ndani ya kanisa lakohuenda likawa moja ya wahusika wa viapo.Sasa tuangalie viapo vya Jesuits. Naomba niweke maelezo haya katika lugha yaKingereza maana ndiyo iliyotumika kuandika viapo hivi, naamini kama hujui lugha hiiunaweza kupata mtu wa karibu akakupa tafsiri fasaha.“When a Jesuit of the minor rank is to be elevated to command, he is conducted intothe Chapel of the Convent of the Order, where there are only three others present, theprincipal or Superior standing in front of the altar. On either side stands a monk, one ofwhom holds a banner of yellow and white, which are the Papal colors, and the other ablack banner with a dagger and red cross above a skull and crossbones, with the wordINRI, and below them the words IUSTUM, NECAR, REGES, IMPIOUS. The meaning ofwhich is: It is just to exterminate or annihilate impious or heretical Kings, Governments,or Rulers. Upon the floor is a red cross at which the postulant or candidate kneels. TheSuperior hands him a small black crucifix, which he takes in his left hand and presses tohis heart, and the Superior at the same time presents to him a dagger, which he grasps bythe blade and holds the point against his heart, the Superior still holding it by the hilt,and thus addresses the postulant:”Kabla ya viapo, maneno yafuatayo yatasemwa na kiongozi wa ngazi ya juu kwa Jesuitsanayeitwa “Superior”Superior speaks:“My son, heretofore you have been taught to act the dissembler: among Roman Catholics to be aRoman Catholic, and to be a spy even among your own brethren; to believe no man, to trust noman. Among the Reformers, to be a reformer; among the Huguenots, to be a Huguenot; amongthe Calvinists, to be a Calvinist; among other Protestants, generally to be a Protestant, andobtaining their confidence, to seek even topreach from their pulpits, and to denouncewith all thevehemence in your nature our Holy Religion and the Pope; and even to descend so low as tobecome a Jew among Jews, that you might be enabled to gather together all information for thebenefit of your Order as a faithful soldier ofthe Pope.Nimefupisha maelezo hayo na baada ya hapo ndipo viapo sasa vinaanza wakati muapajiakiwa amelala chini kifudifudi:The Extreme Oath of the Jesuits:—-“I, _ now, in the presence of Almighty God, the Blessed Virgin Mary, the blessed Michael theArchangel, the blessed St. John the Baptist, the holy Apostles St. Peter and St. Paul and all thesaints and sacred hosts of heaven, and to you, my ghostly father, the Superior General of theSociety of Jesus, founded by St. Ignatius Loyola in the Pontificate of Paul the Third, andcontinued to the present, do by the womb of the virgin, the matrix of God, and the rodof JesusChrist, declare and swear, that his holinessthe Pope is Christ’s Vice-regent and is the true andonly head of the Catholic or Universal Church throughout the earth; and that by virtue of the keysof binding and loosing, given to his Holiness by my Savior, Jesus Christ, he hath power to deposeheretical kings, princes, states, commonwealths and governments, all being illegal without hissacred confirmation and that they may safely be destroyed. Therefore, to the utmost of my powerI shall and will defend this doctrine of his Holiness’ right and custom against all usurpers of theheretical or Protestant authority whatever, especially the Lutheran of Germany, Holland,Denmark, Sweden, Norway, and the now pretended authority and churches of England andScotland, and branches of the same now established in Ireland and on the Continent of Americaand elsewhere; and all adherents in regard that they be usurped and heretical, opposing the sacredMother Church of Rome. I do now renounce and disown any allegiance as due to any hereticalking, prince or state named Protestants or Liberals, or obedience to any of the laws, magistrates orofficers.—–I do further promise and declare, that I will have no opinion or will of my own, or any mentalreservation whatever, even as a corpse or cadaver (perinde ac cadaver), but will unhesitatinglyobey each and every command that I may receive from my superiors in the Militia of the Popeand of Jesus Christ.—–That I may go to any part of the world withersoever I may be sent, to the frozen regions ofthe North, the burning sands of the desert of Africa, or the jungles of India, to the centers ofcivilization of Europe, or to the wild hauntsof the barbarous savages of America, withoutmurmuring or repining, and will be submissive in all things whatsoever communicated to me.—– I furthermore promise and declare thatI will, when opportunity present, make and wagerelentless war, secretly or openly, against all heretics, Protestants and Liberals, as I am directedto do, to extirpate and exterminate them from the face of the whole earth; and that Iwill spareneither age, sex or condition; and that I willhang, waste, boil, flay, strangle and bury alive theseinfamous heretics, rip up the stomachs and wombs of their women and crush theirinfants’ headsagainst the walls, in order to annihilate forever their execrable race. That when thesame cannotbe done openly, I will secretly use the poisoned cup, the strangulating cord, the steel of theponiard or the leaden bullet, regardless of the honor, rank, dignity, or authority of the person orpersons, whatever may be their condition in life, either public or private, as I at any time may bedirected so to do by any agent of the Pope or Superior of the Brotherhood of the Holy Faith, ofthe Society of Jesus.Baada ya kumaliza viapo hivyo muapaji anatakiwa kuandika jina lake kwa kutumia kifaachakuandikia kilichochovywa damu yake iliyotolewa kifuani upande ulipo moyo wake.Kisha Superior anauliza maswali yenye majibu kama ifuatavyo:Question —From whither do you come? Answer — The Holy faith.Q. —Whom do you serve? A. —The Holy Father at Rome, the Pope, and the Roman CatholicChurch Universal throughout the world.Q. —Who commands you? A. —The Successor of St. Ignatius Loyola, the founder of theSociety of Jesus or the Soldiers of Jesus Christ.Q. —Who received you? A. —A venerable man in white hair.Q. —How? A. —With a naked dagger, I kneeling upon the cross beneath the banners of the Popeand of our sacred order.Q. —Did you take an oath? A. —I did, to destroy heretics and their governments and rulers, andto spare neither age, sex nor condition. To be as a corpse without any opinion or will of my own,but to implicitly obey my Superiors in all things without hesitation of murmuring.Q. —Will you do that? A. —I will.Q. —How do you travel? A. —In the bark of Peter the fisherman.Q. —Whither do you travel? A. —To the fourquarters of the globe.Q. —For what purpose? A. —To obey the orders of my general and Superiors and execute thewill of the Pope and faithfully fulfill the conditions of my oaths.Q. —Go ye, then, into all the world and take possession of all lands in the name of the Pope. Hewho will not accept him as the Vicar of Jesus and his Vice-regent on earth, let himbe accursedand exterminated.”The Jesuit Oath of Induction is also recorded in the Congressional Record of the U.S.A. (HouseBill 1523, Contested election case of Eugene C. Bonniwell, against Thos. S. Butler, Feb. 15,1913, pp. 3215-3216) It can also be found in the book entitled, “Subterranean Rome” by CharlesDidier translated from the French and published in New York in 1843. Dr.Hivyo ndivyo viapo kwa kifupi vya wanachama wa Jesuits na unaweza pia kuvipatakwenye mtandao huu:http://www.zenit.orgUkweli ni kwamba viapo hivyo vinamfanya muapaji awe tayari kuua ikiwa ni kwa siriau kwa uwazi mtu yeyote atakayekuwa kinyume na kanisa. Tunajua kwamba ulimwenguwote hatimaye utakuwa chini ya dini na serikali moja kama anavyosema Padre MalachiMartin wa kanisa Katoliki katika kitabu chake kiitwacho “The Keys of this blood”,anasema “He is as determined to be world ruler as was Constatine in his day.” p. 49.Akimaanisha kwamba Papa wa kanisa Katoliki atakuwa kiongozi wa dunia nzima kamaalivyokuwa Constatine wakati wake. Hili pia linathibitishwa na Mungu kamatunavyosoma kwamba “….akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa na lugha nataifa.” Ufunuo 13:7. Wale watakaokataa kutawaliwa na mnyama huyo watakabiliwa nakifo maana tayari sheria imetungwa katika mahaka ya kimataifa inayoitwa “The Romestatute of International Criminal Court.”Hebu tumsikilize mkuu wa shirika la Jesuits anavyosema:“See, sir, from this Chamber, I govern, not only to Paris, but to China; not only to China,but to all the world, without anyone knowing how i do it.” (Tamburini, General of theJesuits.)Yeye anasema kwamba “kutoka ndani ya ofisi hii, ninatawala, sio tu hata Paris, balihadi China, sio tu hadi China bali katika ulimwengu wote, bila mtu yeyote kujua jinsininavyofanya.”“In these last days God hath spoken to us by his son Ignatius, (Jesuit founder) whomhehast appointed Heir of all thing, by whom also he made the world”. – Preached by F.Doza J.S., “The Firey Jesuits,” p, 66“Katika siku hizi za mwisho Mungu amezunguza nasi kupitia kwa mwanae Ignatius,(mwanzilishi wa Jesuits) ambaye amemchakuwa kuwa mrithi wa vitu vyote, ambapo kwayeye aliumba ulimwengu”.“The Grand Rule For an inferiro readily to declare his assent and consent to hisSuperiror in active obediance when he says, the snow is black, or the crow is white…weshould always be ready to accept this principal: I will believe that the white that I see isblack, if the hierarchical Church defines it as such.” -The Spirit Exercies of St.Ignatius, p. 141, -By Ignatius de Loyola.Naye rais wa Marekani Abraham Lincoln akiwa anakifahamu chama cha Jesuits nakazi zao alisema kwamba:“This War (Civil war) would never have been possible without the sinister influence ofthe Jesuits. We owe it to popery that we now see our land reddened with the blood of hernoblest sons”…. “The mormon and the Jesuit priests are equally the uncompromisingENEMIES of our Constitution and our laws;but the more dangerous of the two is theJesuit- the romish priest, for he knows better how to conceal his hatred under themask offriendship and public deeds for the glory of God…. So many plots have already beenmade against my life, that it is a real miracle that they have all failed, when we considerthat the great majority of them were in the hands of the skillful Roman Catholicmurderers, evidently trained by Jesuits. But Can we expect that God will make aperpetual miracle to save my life? I believe not. ..My escape from their hands, since theletter of the pope to Jeff Davis has sharpened a million of daggers to pierce my breast,would be more than a miracle. But just as the Lord heard no murmur from the lips ofMoses when he told him that he had to die, before crossing the Jordan, for the sins of hispeople; so i hope and pray that he will hearno murmur from me when i fall for mynations sake. ..” (Abraham Lincoln)“Vita hii isingewezekana kuwepo kama isingesababishwa na Jesuits. Tunamdai Papasasa kwa kuona ardhi yetu ikienea damu za watu wake…” “Watu jamii ya mormon namakasisi wa shirika la Jesuit ni maadui wa katiba na sheria zetu; lakini kati ya haowawili Jesuits ndio kundi hatari zaidi – kasisi wa rumi, maana anajua vizuri jinsi yakuficha chuki yake katika mavazi ya urafiki na kufanya kazi za jamii kwa ajili ya utukufuwa Mungu….hivyo njama nyingi zimewekwa dhidi ya maisha yangu, ambapo ni muujizakwamba wameshindwa, maana tunajua kwamba wengi wao walikuwa miongoni mwawauaji wa Roman Catholic waliotumia akili nyingi, bila shaka wakiwa wamefundishwana Majesuits. Lakini tutarajie kwamba Mungu ataendelea kufanya muujiza ili kuokoamaisha yangu? Siamini hivyo…kutoka kwangu mikononi mwao, tangu barua ya papakwenda kwa Jeff Davis imenoa makali ya mamilioni ya watesaji ili kupasua kifua changu,itakuwa zaidi ya muujiza nikitoka mikononimwao. Lakini kama vile Bwana ambapohakusikiliza manung`uniko ya Musa wakatialipomuambia kwamba atakufa kabla yakuvuka mto Yordani, kutokana na dhambi za watu wake; ndivyo nilivyo na matumaininakuomba kwamba asisikie manung`uniko yangu nitakapoanguka kwa ajili ya taifa langu”.(Abraham Lincoln)Yapata mwaka 1865, Abraham Lincoln aliuawa baada ya kuonekana kuwa anapigavita vyama vya siri. Katika historia ya taifa la Marekani wapo marais wachache sanaambao walipinga uwepo wa vyama vya siri mmoja wao alikuwa Abrahm Lincoln. Hatahivyo wapinzani wa vyama hivi wamekuwa wakikutana na vikwazo na hata kuuawa.Baada ya kugusia chama cha Jesuits sasatuendelee na kuwaona Illuminati ambaochimbuko lao ni Jesuit Society.Ielewe kwamba unapozungumzia Illuminati, unazungumzia ibada na utawalakatikajamii, kama vile mnyama wa namba 666 anavyojishughulisha na ibada na utawala.Mmoja wa waumini wa Illuminati mwenye digrii 33 ambaye aliwahi kuwa kiongozimkuu wa Illuminati nchini Marekani Dr. Albert Pike, anasema, namnukuu: “EveryMasonic Lodge is a temple of religion, and its teachings are instruction in religion”(Albert Pike, Morals and Dogma, P. 213.) Kwamba “kila Loji (Jumba au kituo) yaFreemason ni hekalu la mambo ya dini, na mafundisho yake ni maagizo katika dini.”Unapoingia kwenye Loji za Freemason utakuta kuna Biblia ya toleo la King James ikiwaimewekwa juu ya madhabahu (Altare) ya Loji hiyo. Bw. Albert anaendelea kusemakwamba: “Freemasonry is a search for Light. That search leads us directly back, as yousee, to the Kabalah.” [Albert Pike, Morals and Dogma, p. 741] Kwamba “Kazi yaFreemason ni kutafuta nuru. Na kutafuta huko kunatufanya, kama unavyoona, tujielekezeKabalah.” Katika dini ya Uislamu kuna kitu kinachoitwa الكعبة yaani al-Kabah hukoMecca Saud Arabia. Illuminati nao wana kitu kinachoitwa Kabalah. Nitaelezea zaidikatika sura zinazofuata.Wakati Jesuits wanayaita majumba yao ya kufundishia kwa jina la ‘Convent’ nawanaojiunga kuitwa ‘Novice’ Illuminati na freemason wanayaita majumba yao ‘Lodge’na wanaojiunga katika digrii tatu za awali hutumia majengo yanayoitwa ‘Blue Lodge’.Maana ya Illuminati ni “aliyepewa nuru” au kwa lugha ya kigeni “one who isilluminated” au “the enlightened ones,” ikimaanisha “mtu aliyepokea nuru au ujuzimkubwa.” Umewahi kusikia watu wanaoitwa “Jesuits”? Kama umewahi kuwasikia,tambua kwamba hao ndio waliomfundishaAdam Weishaupt, ambaye ndiye mwanzilishiwa The Illuminati. Kwa maana nyingine, Illuminati ni mwanafunzi wa Jesuits.Baada ya Adam Weishaupt kupata elimu yake kutoka kwa Jesuits, mwaka 1785serikali ya Bavaria ikafunua mpango wa Weishaupt wa kuangamiza Ukristo na kutawalaserikali zote duniani. Mpango huo ulipingwa vikali na serikali ya Bavaria na kulifukuzakundi la Illuminati nchini humo. Hata hivyohuu haukuwa mwisho wa Illuminati, kamawanahistoria wengi walivyoandika. Mipango ya Weishaupt ilichukuliwa nakushughulikiwa kama mapinduzi yaliyo hatari katika nchi ya Ujerumani (Bavaria) pekeyake. Lakini kuna mataifa mengi ambayo Illuminati walikuwa wanafanya kazi na hivyoserikali za mataifa hayo hazikujali tahadhari ya serikali ya Bavaria kuhusu Illuminati.Baada ya miaka michache mpango wa kuangamiza Ukristo na kisha kutawala serikalizote ulionekana kwa mara ya kwanza wakati wa mapinduzi ya Ufaransa. Nguvu kamahiyo ya mapinduzi ilionekana tena huko Ujerumani ikiitwa “The Legue of the Just”kukiwa na matawi yake huko London, Brusses, Paris na Switzerland. Wakati Napoleonalipoingia madarakani, hakuvumilia vitendo vya Jacobin Clubs vilivyokuwa chini yaIlluminati hivyo akavifutilia mbali. Hata hivyo Illuminati waliendelea kufanya kazi kwajina lingine. Walifanya kazi kwa jina la “The Legue of the Just” ambapo “Karl Marx”alikuwa mfuasi. Alipewa kazi ya kurudia kwa kuandika kwa kina kile kilichoandikwa naAdam Weishaupt miaka sabini iliyopita.Weishaupt alikufa mwaka 1830, lakini mipango yake ya mapinduzi iliendelezwa nawafuasi wake ambao hadi leo wako kwenye hatua za mwisho za kukamilisha mipangohiyo ya kuhakikisha kwamba dunia yote inarudia imani ya kipagani na kumuabudushetani.Mwaka 1842 Karl Marx alianza kuandika propaganda za mapinduzi kwa ajili ya“League of the Just”, akitumaini kusababisha machafuko. Mwaka 1844, akishirikiana naFriedrich Engels, wakiwa chini ya usimamizi wa “The League of the Just”, Marx alianzakuandika “Manifest der Kommunistichen Partei,” kinachojulikana kama “The CommunistManifesto,” yaani “Ilani ya Ukomunist” iliyotolewa mwanzoni mwa mwaka 1848.Baadaye, Illuminati wakiwa wanafanya kazichini ya “The League of the Just,”walibadilisha jina lao na kuitwa “The League of Communists”.Wakomunist husherehekea May Mosi ikiwa ni kuzaliwa kwa harakati za mapinduziyao kwa sababu ilikuwa ni tarehe ya kuanzishwa kwa Illuminati iliyoanzishwa na AdamWeishaupt. Wasomi wengi wanajua kwamba Ukomunist ni dhana ambayo haikubaliuwepo wa Mungu kama Biblia inavyoelezea. Vivyo hivyo Illuminati ni wapinzaniwakubwa wa Biblia maana wanatumiwa naShetani ambaye ni adui wa Mungu na watuwake. Na sio kwa kubahatisha kwamba Wakomunist wote hutumia umbo la pentagram(umbo la nyota yenye pembe tano) kama moja ya nembo yao. Pia sio kwa kubahatishakwamba Wakomunist hutumia neno RED katika kuelezea harakati za mapinduzi yao.Familia ya “The Rothschild international banking” ambayo kwa takribani miaka 200imekuwa na mafanikio huko Ulaya katika nyanja za uchumi na siasa, ilianzishwa naMayer Amschel Rothschild mnamo Feb. 23, 1744 huko Frankfurt Ujerumani. Alikuwa nawatoto watano na jina la familia lilitokana na RED SHIELD.Ni Adam Weishaupt pamoja na familia ya “the House of Rothschild” ndiowalioanzisha harakati hizi kwa sehemu zikiwa za kidini na kwa sehemu zikiwa ni zakisiasa kama zilivyotabiriwa katika unabii wa Yohana kuwa ni mnyama mwekundu sanaatakayetoka katika shimo la kuzimu (yaani umizimu) Ufunuo 17:3,8.Inaaminiwa kwamba Illuminati ni sehemu ya Freemason. Hawa Freemason, ambao niIlluminati, walichukua imani yao kutoka kwa “The Knights Templar”. “The KnightsTemplar” kilikuwa ni kikosi cha kidini ambapo wafuasi wake walipata kuwa matajiriwakubwa kutokana ka kupewa ardhi na zawadi kutoka kwa wafalme wa nchi za Ulaya.Kufikia miaka ya 1300 kikosi hiki cha Templars kilijiita kuwa ndio wamiliki wa Benkiza Ulaya kutokana na utajiri mkubwa waliokuwa nao. Walikuwa na ndoto za kuwamatajiri wakubwa kiasi cha kuununua ulimwengu. Mfalme wa Ufaransa na Papawalianzisha msako wa kuwakamata The Knights Templar lakini Papa akawa na mashakakutokana na jinsi mfalme alivyokuwa anaendesha msako ndipo Papa akaendelea kufanyamsako bila kushirikiana na mfalme. Wakatiwa msako huu kikosi hiki cha Templarskikaungama kosa lao kwa Papa na kujifanya kuwa Templars sasa wamekuwa Wakristohuku wafuasi wake wakificha imani yao ya kumuabudu Lucifa kama mungu wao.Papa akawa amefanikiwa kukikomesha kikosi hiki lakini hakuwa amekikomesha kabisakwani hatimaye kiligeuka na kuwa Freemason huku jamii ikiwa inawaona Freemasonkuwa ni chama kizuri chenye malengo mazuri tu. ni kwa njia hii Adam Weishauptaliyekuwa mwanachama wa Freemason alifanikiwa kuanzisha imani ya chama cha siricha Illuminati ndani ya chama cha siri cha Freemason.Freemason ni chama cha siri ambacho kipo hata leo kikiwa kinafanya kazi kwa kisingiziocha kuleta usawa na amani kwa watu wote.Kuna mtazamo mwingine kuhusu Illuminati, kwamba mwanzo wao unaanzia miaka4000 iliyopita huko Mesopotamia, katika zama za kipindi cha Sumeria. Mfalmealiyekuwa mtawala kipindi hicho aliitwa mfalme Uru-Nammu. Habari za Uruzinapatikana pia ndani ya Biblia wakati wa utawala wa Babeli ikiwa ni Ur ya wakaldayo.Lakini zaidi Freemason wakiwa ni waabudu Shetani, tunaweza kupata chimbuko laomuda mrefu sana tangu wakati wa Habili na Kaini ambapo Kaini alimuasi Mungu.Mafundisho ya Illuminati yana mchanganyiko wa siri za Mason (Masonic secrets)yaani (Luciferian Doctrines), Islamic mysticism (Sufism), na Jesuit mental discipline(Hatha Yoga). Nitaelezea zaidi kuhusu Freemason katika sura za mbele.Luciferian wao wanaunda makundi ya Freemason maana wao wanakubali moja kwamoja kwamba wanamwabudu Shetani. Islamic mysticism ni imani ambayo imo ndani yadini ya kiislamu, kihindu, budha, nk lakini ikiwa inatokana na imani ya Illuminati, hivyowaislamu, wahindu na wabudha wengi wametekwa bila kujua na hivyo wanamwabuduLucifer pasipo kujua. Jesuit mental displine, yaani Hatha Yoga, ni mbinu ya Illuminatiinayotumiwa katika madhehebu ya Kikristona kuwafanya waumini wao kumwabudushetani pasipo kujua, na hivyo wote wanajikuta wakiwa kinyume na Mungu wambinguni. Kumbuka kwamba Shetani anatumia wakala anayeitwa Mnyama wa namba666 maana mnyama huyo alipewa kiti cha enzi cha Shetani (Ufunuo 12:9; 13:2). Lakinisasa tunaona pia mnyama huyo naye akitumia mawakala wake ambao wanaitwaIlluminati. Tutaona pia kuwa Illuminati nao wanatumia mawakala wanaoitwa Freemasonna vyama vingine vya siri pamoja na taasisi kubwa zisizo za siri. Kwa ujumla, Illuminatiwanatumia mbinu ya “Divide and Rule” iliyotumiwa wakati wa ukoloni katika kulitawalabara la Africa.Kwa nje Illuminati wanajionyesha kuwa na nia ya kuifanya jamii iwe nzuri na safilakini kwa ndani lengo lao kubwa ni kujikweza na hatimaye kuweza kuitawala jamii yoteya ulimwengu. Wafuasi wa Islamic mysticism (Sufism) wanaamini kwamba wao wakokwenye safari ya kiroho kwenda kwa Mungu na kwamba inawezekana kuwa karibu sanana Mungu wakati mtu akiwa hai – hapa kuwa karibu na Mungu wanamaanishakumsogelea Mungu kimwili na sio kimaadili – Katika imani ya Sufism, mtu akiwa katikahali ya utambuzi – mawazo, hisia, mitazamo nk, wanaamini kwamba yote yanatoka kwamungu au ni zawadi kutoka kwa mungu. Rejea Septemba 11 kule World Trade Center,waendesha ndege zilizogonga yale majengo marefu walikuwa na imani ya Sufism.Sufis wanaamini kwamba wao wanajitahidikuwa mungu na mungu anajitahidi kuwawao, yaani wanajitahidi kufanana na shetani na shetani anajitahidi kufanana na wao, nahivyo siku moja watakutana na kufikia utimilifu wa kufanana wote. Lakini pia Illuminatikatika imani ya Jesuit mental displine (Hatha Yoga) wanajitahidi kuwafanya watuwaimani ya Kikristo kuamini kwamba kwa juhudi zao wenyewe wanaweza kufikiaukamilifu wa kufanana na Mungu. Hapa bwana J.D Buck, katika kitabu chake kiitwachoMystic Masonry anasema: “It is far more important that men should strive to becomeChrists than that they should believe that Jesus was Christ…all men may reach the sameDivine perfection.” – J.D. Buck, Mystic Masonry.“Ni muhimu kwamba watu wanapashwa kujitahidi kuwa Wakristo kuliko kuaminikwamba Yesu alikuwa ni Kristo….watu wote wanaweza kufikia ukamilifu ule ule wakimbingu.” – J.D. Buck, Mystic Masonry. Ndio maana katika dini ya Waislamu utakutanana mafundisho mengi sana yanayomshambulia Yesu na kumshusha hadhi aliyonayo –hiyo inatokana na The Illuminati Doctrines katika imani ya Islamic mysticism (Sufism).Hata hivyo Biblia inatuambia vizuri kwamba hiyo ilikuwa roho na nia ya Luciferaliposema kwamba: “…Nitapanda mpaka mbinguni, nitakiinua kiti changu juu kulikonyota za Mungu; nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho zaKaskazini. Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye Juu.” Isaya14:13. Lucifer aliapa kukiweka kiti chake juu na hatimaye kufanana na Aliye juu – yaaniMungu. Maana ya mlima wa mkutano ni kanisa la Mungu. Kama umo ndani ya kanisalinalojiita kuwa ni kanisa la Mungu – najuakwamba makanisa yote yanajiita kuwa nimakanisa ya Mungu – sasa muelewe kwamba Lucifer aliapa kuketi juu ya mlima wamkutano. Kuhusu Pande za Kaskazini katika unabii Kaskazini ni upande wa mlimaSayuni – yaani upande wa kanisa la Mungu; Soma Zaburi 48:2 “Kuinuka kwake ni mzurisana, Ni furaha ya dunia yote, Mlima Sayuni pande za Kaskazini, Mji wa Mfalme Mkuu.”Hivyo shetani amefanikiwa kuuteka ulimwengu wa kiroho kwa kutumia mnyama wanamba 666 na Illuminati katika Islamic mysticism, na Jesuit mental displine – yaaniHatha Yoga.Illuminati na taifa la Marekani:Tutaanza kuangalia muhuri wa taifa la Marekani na alama zilizotumika kutengenezamuhuri huo unaoonekana kwenye noti ya dola moja ya Marekani. Unapotazama dolamoja ya marekani utakuta kuna alama ya Piramidi upande mmoja na alama ya tai upandewa pili. Kama hujawahi kuona noti hiyo unaweza kuangalia kwenye picha hapa chini.“Our beautiful seal is an expression of Freemasonry, an expression of occult ideas.”(Wyckoff, H. S. The Great American Seal. The Mystic Light, the Rosicrucian Magazine,p.56).Maelezo hayo yanajitosheleza kutuonyesha kwamba alama zilizotumika kubunimuhuri huo wa marekani zinatokana na Freemason.Noti ya Dola Moja ya Marekani.Piramidi likiwa na jicho. Tai akiwa amevalishwa bendera ya MarekaniHapa ndipo penye nguvu ya Illuminati. Katika dola moja ya Marekani ndipo tunakutakile kinachoitwa “Great Seal of The United States of America”. Kuna vitu vingivinavyoelezea jinsi Illuminati walivyohusika katika ubunifu wa muhuri huo wa taifalenye nguvu kubwa duniani. Ubunifu huo wal iupata kutoka kwa munguwanayemwabudu. Mungu huyo anaitwa GAOTU – Great Architect Of The Universe.Yeye ndiye mwenye jicho katika Piramidi lililoko kwenye muhuri huo na kwenye dolamoja ya Marekani. Wabunifu wa muhuri huu walikuwa ni watu sita ikiwa ni ishara yakwamba walikuwa chini ya utawala wa Shetani maana namba sita kama tulivyoonahutumiwa na Shetani ikimaanisha utawala wa Shetani. Watu hao walikuwa kamaifuatavyo: 1) Benjamin Frankline, 2) John Adams, 3) Tomas Jeffeson, 4) FrancisHopkinson, 5) Charles Thomson ambaye alibuni pia bendera ya Marekani, na 6)WilliamBurton. Kwa maelezo zaidi soma kitabu kiitwachwo “Illuminati 666” Uk. 232-234.Hebu tuchunguze kwa makini kila tunachoweza kukiona kwenye muhuri huo.Tuanzena Piramidi………Katika Piramidi iliyopo kwenye dola moja ya Marekani chini kabisa utakuta manenohaya: MDCCLXXVI na kisha kuanza kozi za tofali hadi kozi 33 ikimaanisha degree yajuu kabisa ya Illuminati. Kwa nini ziwepo degree 33? Swali hili litajibiwa kwa undanikatika sura zinazofuata mbele.Wengi wamekuwa wakitafsiri maneno MDCCLXXVI kuwa ni mwaka 1776 ambapoMarekani ilipata uhuru wake, lakini ukweli ni kwamba yana maana ya May 1, 1776,tarehe ya kuanzishwa kwa Illuminati. Pia kwenye Piramidi lililoko kwenye dola moja yakimarekani kuna maneno “Annuit Coeptis” juu ya piramidi yakimaanisha “Our enterprise(conspiracy) has been crowned with success” yaani “njama zetu zimepata mafanikio”. Nachini kabisa ya piramidi kuna maneno “Novus Ordo Seclorum” yakielezea asili na lengola njama hizo “new order of the ages” yaani “mpango mpya wa vizazi”. Sasa ukiyawekapamoja maneno hayo yanamaanisha kwamba Illuminati “wanatangaza Kuzaliwa kwampango mpya wa kipagani”. Kwa mujibu wa kitengo cha hazina cha serikali ya Marekanitamko lililotolewa August 15, 1953, ambapo kulitolewa maana halisi ya alamazilizowekwa nyuma ya dola moja: “Jicho na umbo la pembe tatu lilimaanisha munguaonaye yote. Piramidi ni alama ya kuwa na nguvu na uwezo na kwa vile piramidi hilolinaonekana kutokukamilika, ina maana kwamba kuna kazi bado ya kufanywa.” “Mungualiyetajwa hapo ni mungu wa Misri na anaitwa Horus ambaye jicho lake kamwehalifumbwi wala halisinzii.”Kwa upande mwingine tunamkuta Tai akiwa ameshikilia vitu miguuni mwake. Kwenyemguu wa kulia (Right Talon) Tai huyo amebeba tawi lenye majani kumi na tatu (13)yenye matunda ya mizeituni (Berries) kumina tatu (13). Maana ya namba 13inawakilisha familia kumi na tatu za Illuminati (Illuminati bloodline) na maana yamatunda ni jinsi taifa la Marekani linavyotoa misaada ya hali na mali duniani,maana yamajani ni jinsi Marekani inavyojishughulisha na kutafuta kile kinachoitwa amani duniani.Inadaiwa kwamba Marekani ndiyo inayoongoza katika kutoa misaada kwa wakimbizikwenye shirika la wakimbizi la umoja wa mataifa – UNHCR. Inashangaza kwamba hatanembo ya UN na UNHCR ina tawi lenye majani kumi na tatu kama lile aliloshikilia Taianayewakilisha Marekani. Juu ya kichwa cha Tai kuna nyota kumi na tatu (13) ambazozinatengeneza umbo lenye pembe sita (6) ‘hexagon’. Hapa namba 6 inawakilisha alamaya utawala wa Illuminati na mnyama wa namba 666 ikiwa ni idadi ya waliohusika kubunimuhuri huo wa Marekani. Katika mguu wa kushoto Tai huyo amebeba mishale kumi natatu (13). Mishale kumi na tatu maana yakeni kwamba familia hizo kumi na tatu zaIlluminati ambazo ndizo zinazotawala Marekani ziko tayari kufanya vita na taifa lolotelile linalotishia amani (majani 13) duniani. Taifa hilo litakuwa tayari kufanya vita kwajinsi ya Tai arukaye na kushambulia popote duniani.Kwa hatua hii, inatupasa kuchunguza njama zinazotumika katika matukio duniani.Ukweli ni kwamba watu wengi wanadhihaki juu ya matukio kama hayo. Hata hivyonapenda niwakumbushe wasomaji ukweli huu:I) Biblia inaelezea wazi kwamba Shetani amekuwa mpinzani wa Mungu tangu mwanzowa historia ya ulimwengu huu akijaribu kuutawala ulimwengu kutoka mikononi mwaMungu. Wote wawili, Shetani na Mungu hutenda kazi kwa kutumia mawakala ambao nibinadamu ili watawale dunia hii. Tunaona hali kama hii katika kitabu cha Danieli 10wakati Danieli alipokuwa akiomba kwa muda wa siku ishirini na moja katika ombilililopata majibu. Wakati malaika wa Mungu alipomwendea Danieli, alimwambiaDanielikwamba Mungu alikuwa amesikia ombi lake na kujibu tangu siku ya kwanza alipoanzakuomba na alimtuma malaika huyo ili aende kumpa jibu. Hata hivyo, malaika huyoalicheleweshwa na mapepo wa shetani ambao walikuwa wanapigana na malaika waMungu. Vita hiyo ilikuwa kwa ajili ya nini? Ilikuwa ni kwa ajili ya kuona ni nani haswaanayewatawala wafalme wa dunia hii, maana wao ndio wanaofanya maamuzi kilasikuambayo yataadhiri historia ya mwanadamu. Biblia inafundisha juu ya njama za Shetanina wafuasi wake hapa duniani dhidi ya Mungu na watakatifu Wake.2) Mwanahistoria aitwaye Edward Gibbonsaliandika katika kitabu chake kiitwacho “TheHistory of the Decline and Fall of the Roman Empire”, kwamba sababu kubwailiyosababisha kuanguka kwa dola ya Rumiiliyotawala takribani miaka 1200 ilikuwa ninjama za siri ndani ya serikali yenyewe. Wakati huo huo waliofanya njama hizowalikuwa wakifanya kazi ya kujiangamiza wao wenyewe, walifanikiwa kuwadanganyawakazi katika Dola hiyo. Mtu yeyote asiyejifunza historia yuko tayari kuirudia, kwa hiyotunapaswa kuamka na kuwa na tahadhari ya njama zinazotukabili za mpango mpya waulimwengu (NWO) kutoka kwa Illuminati.Illuminati na Freemason walifanikiwa kubuni ramani ya jiji la Washington DC hukomarekani katika maumbo ya Freemason. Hapa chini ni picha ya ramani ya jiji laWashington DC ikiwa na umbo la Pentagram linalotumiwa na waabudu wa Shetani ikiwani sharti ya kupata nguvu kutoka kwa Shetani..JIJI la Washington DC Jiji la Washington DC.Ramani ya jiji la Washington ambayo ni makao makuu ya Marekani ikiwa imebuniwakatika mtindo wa umbo la Pentagram ambalo ni umbo la kishetani pamoja na umbo laPiramidi. Maeneo muhimu ya jiji la Washington, kama White House, US Capitol,sanamu za makumbusho ya marais wa Marekani yalibuniwa na Freemasons na kujengwakatika mitindo ya Freemason. Utakumbukapia kwamba makao makuu ya wizara yaulinzi yamejengwa katika muundo wa pembe tano (Pentagon) ikiwa ni kwa ajili yamatumizi ya namba tano katika Freemason. Je, nini maana ya umbo hilo? Jibulitapatikana kwenye sura inayofuata katika kipengele cha ishara za vidole viwili na vidolevitatu.Malengo ya Illuminati ni yapi?Katika kitabu chake kiitwacho “The broken Cross” Bw. Peirs Compton ambaye nikasisi wa kanisa Katoliki na aliwahi kuwa mhariri wa gazeti la “The Universe” la kanisaKatoliki, anasema kwamba: “The Illuminati had …a plan …they decided on a mostambitious line of conduct. It would form and control public opinion. It wouldamalgamate religions by dissolving all the differences of belief and ritual that had keptthem apart; and it would take over the Papacy and place an agent of its own in theChair of Peter.” (“The Broken Cross”, by Peirs Compton, 1981. p. 7-8)Lengo kubwa la Illuminati ni kuhakikisha kwamba wanafutilia mbali imani za dinizote, kutawala mawazo ya watu, na kisha wanakalia kiti cha Petro huko St. PetersVatican. Mipango hiyo iliandaliwa tangu mwaka 1776 wakati mwanzilishi wa IlluminatiAdam Weishaupt alipopata ufadhili wa fedha kutoka taasisi za kifedha zinazotawaliwa nafamilia ya Kifreemason ya Rothschilds.Baadae mtu mmoja ambaye alikuwa muumini wa Illuminati bw. Nubius, mwaka 1818aliandika akiwa anaelezea malengo ya Illuminati kwamba ni kuhakikisha wanatawalakatika dini zote ulimwenguni. Hata hivyo Biblia inatuambia kwamba hilo limekuwa nilengo la Shetani tangu mwanzo maana alisema kwamba, “…Nitapanda mpaka mbinguni,nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; nami nitaketi juu ya mlima wamkutano, Katika pande za mwisho za Kaskazini. Nitapaa kupita vimo vya mawingu,Nitafanana na yeye Aliye Juu.” Isaya 14:13.Compton anamnukuu Nubius akisemakwamba:“The Papacy has been for seventeen hundred years interwoven with the history ofItaly. Italy can neither breathe nor move without the leave of the Supreme Pontiff…It isnecessary to seek a remedy. Very well, a remedy is at hand. The Pope…will never enterinto a secret society. It therefore becomes the duty of the secret societies to make the firstadvance to the Church and the Pope, with the object of conquering both.” PeirsCompton, The Broken Cross p. 13.)Illuminati walijua kwamba watakapofanikiwa kutawala katika kanisa la Roma itawawiarahisi kutawala katika dini zote wakiwa wanatokea Vatican. Lakini pia Illuminati walijuakwamba Papa hawezi kujiingiza kwenye vyama vya siri na hivyo wakawa na lengo lawao kuingia kwenye kanisa na kwa Papa wakikusudia kuwatawala wote, kanisa na Papa.Ni kwa jinsi gani Weishaupt alifanikiwa kupata fedha kutoka kwa Benki iliyo chini yaRothschilds (House of Rothchilds)? Compton anaelezea kwamba “He (Weishaupt) wasbacked financially,…by a group of bankers under the House of Rothschild. It was undertheir direction that the long-range and worldwide plans of the Illuminati were drawnup…” p. 8-9.Hivyo ikaandaliwa mipango ya muda mrefu(long term and worldwide plans) kwa ajiliya kufanikisha malengo ya Illuminati katikakile kinachoitwa ‘New World Order’.Katika kutekeleza mipango yao, Illuminati walibuni matumizi ya namba, ishara namaumbo katika kutoa amri zao. Ishara hizozinatokana na nguvu za Shetani. BwanaCompton anasema:“By symbols…is a man guided and commanded…The Illuminati made use of …apyramid, or triangle, which has been long known to initiates as a sign of mystic or solarfaith. At the top of that pyramid, or sometimes at its base, was, and in fact, still is, theimage of a separate human Eye, which hasbeen variously referred to as the open eye ofLucifer…or the eternal watcher of the worldand the human scene.”“The pyramid was one of the symbols that represented the unknown and nameless deity inpre-Christian cults. Centuries later, it was resurrected as a symbol of the destructionofthe Catholic Church; and when the first phase of that destruction had been broughtabout…by those who had infiltrated and since occupied some of the highest places in theChurch, they reproduced it as a sign of their success.”Kisha Compton anatustua kwa kutufunuliasiri hii:“It (this All-Seeing Eye) overlooked the crowds who gathered for the PhiladelphiaEucharistic Congress in 1976. It was taken up by the Jesuits who edited the Society’syear book; and it appeared on a series of Vatican stamps issued in 1978.” (p. 10-11).Compton more specifically identifies the true meaning of this All-Seeing Eye:“The Eye, which can be traced back to the Babylonian moon worshippers, or astrologers,came to represent the [Pagan] Egyptian Trinity of Osiris, the sun; Isis, the moongoddess; and their child, Horus…” (p. 11-12).Compton anaelezea kwamba Illuminati hutumia ishara na alama katika kuamrishawatu, na ndio maana walianzisha matumiziya Piramidi au pembe tatu ambapo juu yaPiramidi hilo kuna jicho lenye maana ya utatu wa miungu wa Misri wanaoitwa Osiris(mungu jua baba), Isis (mungu mwezi mama) na Hurus (mungu mwana). Kumbukakwamba Shetani huigiza kutoka kwa Mungu na kisha kupotosha maana halisiiliyokusudiwa na Mungu. Shetani hana uwezo wa kuumba wala kutengeneza kitu kipyatofauti na alichoumba Mungu. Katika kuhakikisha kwamba Illuminati wanatawala dinizote, walifanikiwa kuingiza matumizi ya maumbo na namba ndani ya dini mbalimbaliikiwa ni pamoja na matumizi ya alama ya jua, alama ya nusu mwezi, alama za ndimi zamoto nk. Nitaelezea kwa undani zaidi dini ambazo zimeathiriwa na Illuminati katikamatumizi ya maumbo.Compton anasema kwamba “By mid-1800’s, the State of Italy had been taken over by theIlluminati” (Compton, The Broken Cross, p. 17). But, still, the religious office of thePapacy was outside their control.Kwamba “kufikia miaka ya katikati ya 1800, taifa la Italia lilikuwa tayari limetekwa naIlluminati” (Compton, The Broken Cross, p. 17). Hata hivyo ofisi ya Papa ilikuwa nje yautawala wao.Compton anasema kwamba “by 1960s the liberals or progressives, secure in havingbrought the designs of the secret societies to a successful conclusion, wereexultant…Theentire world of religion was now permeated by its influence…” (Compton, The BrokenCross, p. 62)Kwamba kufikia miaka ya 1960 tayari Illuminati walikuwa wamejiingiza katika dini zoteulimwenguni. Hili linathibitishwa na ziara ya Papa Paul VI kwenye umoja wa mataifa(UN) Oktoba 4, 1965 alipohutubia mbele yaviongozi wa dini kubwa sita ulimwenguniambazo ni Buddhism, Hinduism, Islam, Judaism, Confucianism, na Wakristo. Comptonanasema kwamba hotuba hiyo ilifanyika ndani ya chumba maalumu kwa ajili ya ibada zaIlluminati kwenye jengo la Umoja wa mataifa, namnukuu: “This [meditation] room wasa centre of the Illuminati, given over to the Cult of the All-Seeing Eye that under asystem of allegories and veiled secrets…was dedicated to the service of pagan cults, andthe obliteration of Christian in favour of humanistic beliefs.” (Compton, The BrokenCross, p.68-69).Je, Compton anakubalika kwa kipimo cha unabii wa Biblia? Ndio, katika kitabu chaUfunuo 17 tunasoma kuhusu mnyama ambaye yu tayari kupanda kutoka kuzimu akiwaamembeba mwanamke. Jambo muhimu nikwamba wakati Yohana anaonyeshwa njozihii alipelekwa jangwani ndipo akamuona mnyama huyu. Jangwani ni mahali pa shidaikimaanisha kipindi kigumu. Historia inatuambia kwamba kanisa la Roma limekuwajangwani tangu mwaka 1798 wakati Papa Pius VI alipokamatwa na jenerali Bethier waUfaransa na kisha kufia huko na kuonekana kana kwamba mwisho wa kanisa hiloulikuwa umefika. Sasa mwaka 1929 ndipo kanisa likarudishiwa tena utawala wake wakikanisa na hivyo kuanza kuwa na vichwa, yaani viongozi na hadi sasa wamefika mapapasaba tangu mwaka 1929. Tumekwisha kuonyesha kwamba mnyam huyo ni utawala waIlluminati na kwa kuwa Yohana alimuona mnyama huyo akiwa amembeba mwanamke(kanisa)—ikimaanisha muungano wa Illuminati na kanisa, Yohana anatudhihirishiakwamba tangu mwaka 1929 tayari Illuminati walikuwa wameungana na kanisa. HivyoCompton kwa kusema kwamba kufikia miaka ya 1960 tayari Illuminati walikuwawameuteka ulimwengu wa dini, ni wazi kwamba Compton yuko sahihi kwa kipimo chaBiblia.Huo ukawa mwanzo wa ujenzi wa hekalu linaloitwa “Temple of Understanding”lililojengwa kwenye hekari 50 huko Potomac Washington. Malengo ya ujenzi wa hekaluhilo yalionekana kuwa ni ibada za Illuminati kutokana na idadi ya madhehebuyaliyohudhuria kwenye mkutano huo. Idadiya madhehebu hayo ilikuwa ni sita ambayoni Buddhism, Hinduism, Islam, Judaism, Confucianism na Wakristo. Kumbuka kwambanamba sita hutumiwa na Illuminati kuwakilisha utawala wao. Nitaelezea kwa kinakuhusu matumizi ya namba na maana zake.Uzinduzi huo uliofanywa na Papa Paulo VI ukawa ni tangazo rasmi la kuanzishwa kwadini moja kutokana na mipango ya Illuminati iliyoanzishwa mwaka 1776 kwa jina laNew World Order. Hivyo basi kile tunachokiona leo katika ulimwengu wa dini, siasa,uchumi, utamaduni nk ni matokeo ya mipango ya Illuminati ya kutaka kutawalaulimwengu wote.Siku chache baada ya Papa Paul VI kurudi Vatican kutoka Marekani kwenye Umoja waMataifa, askofu Mendes Arceo wa Cuernavaca alisema kwamba itikadi za CarlMax ni zamuhimu kwa ajili ya ufalme wa Mungu, wakati huo Papa Paul VI akasema kwambaRoma ilikuwa tayari kuweka msimamo mpya kuhusu vyama vya siri. Compton anasema:“Within a few days of Paul’s return to Rome, the Bishop of Cuernavaca, Mendes Arceo,was declaring that ‘Marxism is necessary in order to realize God’s kingdom at thepresent time’; while Pope Paul let it be known that Rome…was ready to take a new lookat secret societies.” (Peirs Compton, The Broken Cross, p.72)Katika harakati za mipango ya Illuminati yakutawala dunia, chama hicho cha sirikilianzisha taasisi nyingi ambazo hadi leo zinafanya kazi duniani kote. Lifuatalo nijedwali la utawala wa Illuminati likiwa na nguzo sita. Namba sita hutumiwa na Illuminatikuashiria utawala wao.Ili kufanikiwa katika malengo yao ya kuitawala dunia kupitia Dini, uchumi, siasa naAjira/kazi, Illuminati walifanikiwa kuanzisha taasisi za Kidini, kiuchumi, kisiasa na kazina ajira, zote hizo zikiwa zinafanya kazi kwa mwongozo wa Illuminati. Katika taasisi zakidini tunakuta Baraza la Umoja wa makanisa ulimwenguni (World Council of Churches)ambalo lilianzishwa na Illuminati kwa makusudi ya kuunganisha dini zote za Kikristo nakutengeneza “Mnara wa Babeli” wa kiroho. Tayari kuna makanisa mengi ambayoyamejiunga kwenye umoja huo. Wengi hawajui kama umoja huo uko chini ya chama chasiri cha Illuminati ambacho kina siri kubwasana katika kutawala dini na dunia kwaujumla. Ukitaka kujua kama kanisa lako ni mwanachama wa Baraza hilo unawezakutembelea mtandao wa Baraza hilo kwenye http//www.wcc-coe.org/.Ieleweke kwamba WCC ina vitengo kama Christian World Communion, GlobalChristian Forum, nk. ambapo kanisa linaweza lisiwe member wa WCC moja kwamojaila likawa member wa vitengo vilivyo chini ya WCC.Siri ambazo Illuminati/Freemason hawataki zifahamike kwa watuKuna siri muhimu ambazo Freemason na Illuminati hawataki zifahamike kwa watu. Sirihizo ni:– Viongozi wa dini wamefanikiwa kuwatawala mamilioni ya wanaume nawanawake, ambao wamekuwa wakifundishwa tangu utoto wao, kwamba viongozihao ni wajumbe kutoka kwa Mungu.– Leo viongozi hao wamezungukwa na mamia ya alama na mavazi ya Freemasonkama vile pete, kofia nk kiasi kwamba watuwengi hawajui hilo.– Illuminati wanaamini kwamba kuna zaidiya Mwokozi mmoja aliyesulubiwa.Kwamba wapo zaidi ya ishirini.– Illuminati wanaamini kwamba Yesu alifundishwa na waalimu kutoka Misri.– Kisha Yesu akawa “jua” na wale wanafunzi wake kumi na wawili wakawa ndioishara kumi na mbili zinazotumiwa na Freemason zinazozojulikana kama Zodiac– Mbingu zinasemekana kuwa ziko “juu” hata hivyo kutokana na mzunguko wadunia (rotation of the Earth) juu na chini hubadilishana mahali pake.– Wanaoingia kwenye vyama hivi vya siri huanza kupanda ngazi (uti wa mgongo)hadi juu kwenye kilele cha mlima (ubongo), wakiwa wanapitia kwenye shimolililoko sakafuni. Mahali hapo ndipo palipo na hekima (wisdom).– Utatu (trinity au triune) katika mwanadamu ni moyo, ubongo, na viungo vya siri –kila kimoja kimepewa kiwakilishi cha alama katika degree tatu za kwanza zaFreemason. Moyo na ubongo huitwa Kaini na Habili. Vyote viwili vinawajibikakuleta usawa kamili (total equilibrium).– Mti uitwao Pine wenye majani yenye ncha kama sindano ni sawa na mkia wanyoka wenye kitu kama kidole kinachoitwa mkuki mtakatifu. Hiki ndichokinachounganisha mambo ya zamani na yaliyopo (old and present)– Uti wa mgongo ni sawa na nguzo yenye ngazi 33 ambazo wakati mwinginehuitwa nyoka au wachawi. Hii ndio fimbo ya Her-me ikiwa imezungukwa nanyoka wawili, mmoja mweusi mwingine mweupe. Na ndio maana ya degree 33 zaFreemason.– Kiungo kati ya ubongo na viungo vya sirimwilini kinatokana na uti wa mgongoambao ndicho kiungo chao – yaani ubongo na viungo vya siri huunganishwa nauti wa mgongo wenye ngazi 33.– Freemason wanafundisha kwamba mtawala wao ambaye wanamwita munguanajulikana kwa watu wote kama “Mimi niko”– Freemason wa kiwango cha juu kabisa wanaamini kwamba watu wengi ni wazitokama mawe, wakiwa wanafaa kutumiwa kwenye ujenzi kama matofali, uzito waounatokana na ugumu wao wa kuamini kwamba maana halisi ya maisha ni kuwana nguvu za kutoa uhai ulimwengunin (giving life in the world).– Ini (Liver) ndio ufunguo wa damu mwilini. Jina Lucifa ni jina lenye moto,lisilofanya kazi, sawa na damu isiyo na kazi. Mtu akiwa na ini ni sawa na kusemakwamba anaishi (To have a liver is to live). Neno “Live” ukiligeuza nyumalinakuwa “Evil” yaani uovu na neno “Lived” ukiligeuza linakuwa “Devil” yaaniMwovu. Red (Roth) yaani rangi nyekundu ni rangi ya vita. Yellow (Gold) yaanirangi ya njano au ya dhahabu ni ishara ya kupata nguvu, wakati Blue ni rangiwaliyopewa watawala. Green (Yellow+Blue) yaani rangi ya kijani ambayonimchanganyiko wa rangi ya Blue na njano ni rangi waliyopewa wanaojiungakwenye chama cha Freemason (Greenland). Rangi nyeupe (White) humaanishasilaha, wakati rangi nyeusi ni ishara ya uchawi wa watu weusi (Black Magic)– Bahari (Meru-Mara-Mary) alikuwa ni bikira mama. Uhai wa kwanza (ndani yabahari) ulitoka kwenye mdomo wa 1) samaki na kisha kutokea kwenye ardhikupitia 2)chura. baadae uhai ukapatikana kutoka kwa 3)nguruwe pori dume, kisha4)simba na hatimaye 5)nyani. Kisha uhai ukabadilika na kuonekana kuwa 6)mtu(hatua ya sita). Tumbo lililoleta mabadiliko haya ya uzazi ni Bustani ya Edeni nahuwakilishwa na herufi “O”. Kisha mtu akavumbua moto (Lumerian # 7) hukoEthiopia wakiwa ni watu wafugaji. Walivumbua pia bahari ya Atlantic (TheAtlanteans # 8) wakati wakifuatilia jua lilipokuwa linazama upande wamagharibi. Mwisho, watu walioitwa (Aryans # 9) walionekana kwa mara yakwanza huko Georgia kwenye milima ya Caucuses. Hivyo Freemason wakaaminikwamba uumbaji haukukamilika na wao wakawa “miungu.”– Watu hawa waitwao Aryans wanapatikana kwenye kitabu cha Mwanzo sura ya 2katika Biblia. Wakiwa wanatumia genes zenye umbo la pembe tatu walianza kaziya “New World Order”, wakiwafanya watu wazaliane kama nyuki kwenyemzinga, wakati nyuki wa kiume hugeuka na kisha kuanza kuzaa bila msaada wanyuki wa kike. (Adamu alitolewa ubavu na mahali pake pakawekwa yailililotolewa kwenye test – tube. Baada ya miezi tisa, akazaliwa mtotomwanamume aitwaye Tubal Cain, na hatimaye akapelekwa huko Babeli. HivyoFreemason wakaanzisha mapango wao nakuuona wenye mafanikio kama yanyuki.– Freemason wanasema kwamba mtu mpya hazaliwi mara moja. Wanasemakwamba mtu huzaliwa kwa degree. Wakati wa miezi tisa mtu huzaliwa akiwa njiti(pre-mature). Mtu huyo anahitaji kutengenezwa zaidi. Freemason wanasemakwamba utambuzi wa kiroho “Spritual consciousness” ni “mimi niko” wa kweli,ambaye hupatikana baada ya mwaka wa ishirini na moja wakati mawazo huanzakutoka katika viungo wa siri (kukomaa kwabalehe). Hata hivyo kwa Freemasonmaisha huanza mtu anapofikisha umri wa miaka arobaini, baada ya miaka ishiriniya kujitoa kwake, na kuwa mtumishi mwaminifu.– Wanawake, hamuoni kwamba mnapaswa kuamka na kuwatuma freemason wakike kweny vikao. Mkiendelea kukubali kunyanyaswa kiakili, kimwili na kirohonguvu zetu zitakwisha. Msikubali kuendelea kunyanyaswa. Jiteteeni katikamaisha yenu na taratibu ulimwengu wote utafadhaika.– Kwamba kanisa au dhehebu lazima liwe chini ya uongozi wa watu katika mfumowa umbo la pembe tatu (Piramidi) na kwamba mtu hawezi kuokolewa asipokuwandani ya kanisa au dhehebu hilo.– Baada ya miaka elfu kumi ya Freemason,je huu sio wakati wa wanaume nawanawake kujichukulia madaraka ya kisiasa, kidini na kiuchumi na kuundaparadiso ambayo ilikuwa imepotea hapa duniani?Hizo ndizo baadhi ya siri muhimu ambazo Freemason hawataki zijulikane kwa watu.Ukichunguza kwa makini siri hizo utagundua mambo mengi ikiwa ni pamoja na maanaya degree 33. Lakini pia utagundua kwamba katika somo la Historia kuna topicinayosema “Evolution of man” Yaani uibukaji wa mwanadamu. Kwamba mtuhakuumbwa kama Biblia inavyosema ila alitokana na mabadiliko ya viumbe kutoka hatuaya kwanza hadi ya 9. Sasa ieleweke kwamba chanzo cha topic hiyo ni Freemason. Jambolingine ni kwamba siku za hivi karibuni wanasayansi wamekuwa wakifanya utafiti wakuzalisha watoto kupitia chupa (Test Tube). Hiyo pia ni imani ya Freemason ambaowanaamini kwamba Adamu alipotolewa ubavu, kama Biblia inavyosema, wanadaialiwekewa yai kupitia kwenye chupa (test tube) na kisha akazaliwa Tubal Cain bilamsaada wa mwanamke. Wao wanasema bahari ndio mwanamke na tutaona katika sura zambeleni kwenye kitabu hiki jinsi freemasonwanavyopata nguvu kutoka kwa jinniliitwalo LILITH ili kuwaweka wanawake mahali ambapo hawakuwekwa na Mungu.Ndio maana tunaona harakati za kuwanyanyua wanawake ili washike majukumu yawanaume, hata hivyo Freemason wanajua kwamba hilo litakapofanikiwa, ulimwenguwote utafadhaika! Lakini pia Freemason wanasema kwamba watu wana mioyo mizitokwa sababu hawawaamini na hivyo wamekuwa wazito kama mawe ambayo yanafaakutumiwa katika ujenzi. Hivyo wanawatumia watu kujenga babeli yao bilawatu kujua.Kwa mfano watu wengi wamekuwa wakiiga mitindo ya kidunia iliyoanzishwa naFreemason, madhehebu mengi yamekuwa yakifuata mafundisho yaliyo maagizo yawanadamu (Mathayo 15:9), madhehebu mengi yamefuata mfumo wa Piramidi, na kwakweli wengi wamekuwa ni mawe mazito yanayotumiwa na Freemason kujengea.3Freemason na Kazi zao.Sasa tunaingia katika hatua muhimu kabisa ya kujua kazi za vyama hivi vya sirimaana tayari vimo ndani ya jamii bila jamii yenyewe kujua. Tumeona mnyama wanamba 666 na Illuminati, ambao malengo yao ni mamoja, ya kuitawala dunia, kisiasa,kiuchumi, kidini nk. Nimegusia pia kundi la Freemason katika sura iliyopita. Ukweli nikwamba huwezi kutenganisha Illuminati na Freemason kama tulivyoona kwenye suraya pili. Lakini pia huwezi kuwazungumzia freemason bila kumfahamu na kumtaja Dr.Albert Pike.Dr. Albert Pike alizaliwa Disemba 29, 1809 akiwa ndiye mtoto mkubwa kwenyefamilia ya watoto sita ya Benjamin na Sarah Andrews Pike. Pike alizaliwa na kukuliakwenye familia ya Kikristo kwenye dhehebu la Episcopal. Akiwa na umri wa miaka 15alifanya mtihani wa Harvard College na akafaulu lakini hakuweza kusoma chuoni hapokwa sababu ya kukosa fedha. Baada ya kusafiri hadi kufika mahali panapoitwa Santa,aliendelea na safari yake hadi Arkansas ambapo aliajiriwa kuwa mhariri wa gazeti kablaya kufanya kazi bar. Akiwa Arkansas, alikutana na Mary Ann Hamilton na akamuoaNovemba 28, 1834. Aliweza kuzaa watoto 11 pamoja na mkewe. Alipofikisha umri wamiaka 41 aliomba kujiunga na freemason kwenye Loji inayoitwa Western Star Lodge No.2 huko Little Rock, Ark ikiwa ni mwaka 1850. Alipata Digrii zake 10 za York Ritekuanzia mwaka 1850 hadi 1853. Alipata digrii ya 29 ya Scottish Rite mwezi Machi 1853akiwa Loji ya Albert Gallatin Mackey huko Charleston.Kwa mujibu wa maandishi ya mwanzo kabisa kuhusu Freemasons, maandishi hayoyanasema kwamba chanzo cha freemasons ni Adam anayesemekana kuwa ndiye Masonwa kwanza kabisa. Kitambaa kinachoitwa ‘apron’ wanachokivaa Masons wakati waibada zao wanadai kuwa ni sawa na ngozi aliyoivaa Adamu na Hawa katika bustani yaEden. Ujuzi wa kujua mema na mabaya alioupata Adamu baada ya kula tundawalilokatazwa ulichukuliwa hadi kwa mtoto wa Adam aitwaye Seth, na kisha kwaNimrod ambaye ndiye mwanzilishi wa ujenzi wa mnara wa Babeli, yeye akiwa ni kitukuuwa Nuhu. Dr. Albert Mackey (mwenye digrii33 na mwandishi wa FreemasonryEncyclopedia) anarejea kwenye maandishiya mwaka 1560 yakielezea kwamba chanzocha freemasons ni kwenye mnara wa Babeli na kwamba Nimrodi aliwafundisha wajenziwa mnara huo imani ya freemasons. Baada ya Mungu kuchafua lugha yao, siri zote zafreemasons inasemekana kuwa zilipotea.Wakati mfalme Sulemani (Solomon) alipokuwa anajenga hekalu, freemasonswanaamini kwamba imani yao ilianzishwa tena. Mackey anasema kwamba Sulemani(Solomon) ndiye aliyekuwa Grand Master wao mkuu na Loji (Lodges) zote zilianzishwana Sulemani. Hata hivyo Martin L. Wagner ambaye ni muumini wa freemasonanafundisha kwamba jina ‘Solomon’ sio jina la kabila ya Israeli kwa sababu maana yajina hilo yaani Sol-om-on humaanisha jua katika lugha ya kilatini ‘Sol’, katika lugha yakihindi ‘om’ na katika lugha ya Misri ‘on’ hivyo kumaanisha kwamba Solomon ndiyemungu jua na mkuu wa Freemasons baada ya Nimrod.Wakati wa utawala wa Uyunani (Greece) kulikuwa na vikundi vilivyoitwa ‘guilds’ sawana vyama au ‘unions’ kwa wakati wetu huu.Vikundi kama hivyo viliitwa “Dionysiacs,”huko Roma na ndivyo vilivyohusika na ujenzi wa viwanja vya michezo (stadiums).Baadae vikundi hivi ndivyo vilivyohusika naujenzi wa makanisa (cathedrals) na majengomakubwa na baadaye vikapewa majina kama Carpenta, builders, draftsmen, craftsmenkatika fani ya ujenzi. Watu hao kulingana na fani zao walikaa kwenye vikundi pamojanamahali hapo pakaitwa Loji au Lodge. Ndio chanzo cha majengo ya kuabudu yafreemasons kuitwa ‘Lodges’. Wale wote waliokuwa na fani ya ujenzi wa majengowaliitwa ‘Masons’ lakini iwapo mtu asiye na ujuzi wa ujenzi wa majengo huku akitakakujiunga na chama hicho aliitwa ‘AcceptedMason’. Baadae Dr. Albert Pike aliandikakitabu kinachoitwa ‘Morals and Dogma of the Ancient and Accepted Scottish Rite ofMasonry’ alichokiandika mwaka 1871. Kitabu hicho ndicho chenye mafundisho namwongozo wa imani ya freemasons.Ndani ya kitabu hicho kuna jumla ya digrii 33 za freemason na walitumia mahesabukatika kutoa digrii zao 33, unadhani waliamua tu? hapana! Walipata digrii 33 kutokanana kinachoaminiwa “human trinity” yaani ‘utatu wa kibinadamu’ kwamba ni moyo,ubongo na viungo vya siri. Wakasema kwamba viungo vya siri na ubongovinaunganishwa na ngazi 33 za vipingili vya viungo vya uti wa mgongo (joints).Kwamba uti wa mgongo una ngazi 33 kutoka unapoanzia kwenye viungo vya siri hadikichwani kwenye ubongo. Hapa inabidi tuwaulize madaktari watupe ukweli kuhusuhizongazi 33 za uti wa mgongo. Mtu anapobalehe ndipo anapoanza kupanda ngazi naanapofikia umri wa kuwa na akili (ubongo) timamu iliyotulia huwa amefikia ngazi yajuu kabisa katika ubongo, sawa na kumaliza ngazi zote 33 za uti wa ubongo.Digrii hizo 33 ni kama ifuatavyo: The Blue Lodge (Symbolic Lodge of Hatimayeimani ya freemasonry ilisambaa taratibu katika maeneo mengi duniania: Ufaransa (1718-25) , Ireland (1725-26), Hispania (1726-27), Uholanzi (1731), Ujerumani (1730-33),Africa (1735), Scotland (1736), Ureno (1736), Switzerland (1737), Italia (1733-37),Russia (1731-40), Canada (1745), Sweden (1735-48), Prussia (1738-40), Austria (1742),Poland (1784), na Mexico (1825).Ili kujiunga na imani hii lazima mtu awe na umri wa miaka 21 (3×7) na kama ni mtoto wafreemason anaweza kujiunga akiwa na umri wa miaka 18 (9+9). Zipo Loji kuu (GrandLodges) 150 duniani na kuna wanachama wasiopungua 6,000,000 duniani kote.Kila digrii ina mafundisho yake ambapo kadri freemason anavyopanda ngazi kutokadigrii ya chini kwenda digrii ya juu anafunuliwa siri zaidi kuhusu malengo, ibada nautaratibu mzima wa freemason na Illuminati. Albert Pike anasema: “The Blue Degrees(the Blue Lodge degrees) are but the outer court or portico of the Temple. Part of thesymbols are displayed there to the Initiate,but he is intentionally mislead by falseinterpretations. It is not intended that he shall understand them; but it is intended that heshall imagine he understand them”.[Albert Pike, Morals and Dogma, p. 819; Emphasis added]. Akimaanisha kwambafreemason wa digrii za chini hawapaswi kujua siri na maana halisi ya alama za freemasonila huwa anadanganywa ili afikiri kwamba anazijua.Unaweza kuona aina za digrii hizo; kwa mfano digrii ya 18 inayoitwa ‘Knight of RoseCroix’ hushughulika na elimu ya aina za misalaba na jinsi ya kufanisha kuziingiza ndaniya taasisi na madhehebu mbalimbali kwa imani ya Illuminati na freemason na kwa kwelifreemason wa digrii hiyo wamefanikiwa kwa kiwango cha juu kabisa kuingiza ainanyingizi za misalaba ndani ya makanisa nataasisi bila ya waumini kujua maana yamisalaba hiyo. Tutaona kwenye sura za mbele katika kitabu hiki.Yapata Januari 22, 1870 Pike alipata maono ya nuru “illuminated” kutoka kwaGAOTU—Shetani—kuhusu mpango maalumu wa jinsi ya kutimiza malengo ya NewWorld Order yaliyowekwa na Adam Weishaupt, miaka 94=9+4=13 au 9×4=36 iliyopita,tangu Mei Mosi, 1776, Malengo hayo yalipangwa yakamilike ifikapo Millenia ya 7.Ndipo akaanza kwa kuandika kitabu mashuhuri kwa freemason kinachoitwa “Moralsand Dogma” ambacho kilichapwa kwa mara ya kwanza mwaka 1871, mwaka mmoja tubaada ya kupokea njozi ya kutekeleza mpango mpya wa dunia. Unaweza kujiulizakwamba hivi mpango wa zamani wa dunia ulikuwa ni upi hadi waweke mpango mpya wadunia? Freemason wanauita Ukristo kuwa ni “Mpango wa Zamani wa dunia” na hivyowalidhamiria kuharibu Ukristo na hivyo kuanzisha mpango mpya wa dunia (New WorldOrder) ambao ni Upagani. Tayari viongozi wakuu wa mataifa ya dunia (UN) wamekuwawakikutana mjini New York ili kuangalia malengo ya Millenia yamefikia wapi, na kwauwazi wamekuwa wakisema kwamba kunaumuhimu wa kuharakisha New World Orderkwa visingizio vya umaskini, maradhi na ujinga.Ni njozi gani aliyoipata Pike mwaka 1870? Pike alivuviwa kwamba lazima kuwepo navita kuu 3 za dunia na zilipangiliwa kwa kutumia namba na hesabu za Illuminati nafreemason. Ilipofika mwaka 1914, miaka 44kupita tangu njozi ya Pike, ndipo vita yakwanza ya dunia ikaanza kama ilivyopangwa kwa namba za Illuminati na freemason.Hapo kuna hesabu za illuminati zilizotumika kupanga vita hizi tatu. Njozi ilikuwa Januari22, namba 22 = 11 x 2. Kisha ilipita miaka 44 = 11 x 4, ndipo vita ya kwanza ikaanza.Lakini pia vita kuu ya pili ilianza mwaka 1939 ikiwa ni miaka 69 = 3 x 23 kupita tangunjozi ya Pike mwaka 1870, hata hivyo namba 6 na 9 zote huabudiwa na Illuminati.Lakini pia ilikuwa imepita miaka 21 = 3 x 7 tangu kumalizika kwa vita kuu ya kwanza nakuanza vita kuu ya pili. Namba zilizotumikakuandaa vita kuu mbili za dunia ni namba 3,6, 9 na 11. Ifikapo mwaka 2011 itakuwa imepita miaka 66 tangu kumalizika kwa vita kuuya pili. Mpangilio wa namba 6, 66, na 666 huwa na nguvu zaidi kwa freemason na nikutokana na miaka 66 kupita tangu vita ya pili illuminati wamepanga kuanzisha vita yatatu ya dunia. Tutaona kwenye sura mbeleni.Pike alifariki manamo Aprili 2, 1892 huko Washington DC. Tutarudi kuchunguza njoziya Pike na mpango wa vita kuu tatu (3) za dunia zilivyopangwa kwa namba na hesabu zaIlluminati.Yesu aliahidi kwamba “……. hakuna neno lililositirika, ambalo halitafunuliwa; walalililofichwa ambalo halitajulikana. Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru;na msikialo kwa siri lihubirini juu ya nyumba.” Mathayo 10:26-28 na sasa sirizilizopangwa na Illuminati zinafichuka na si muda mrefu ulimwengu utashuhudia vitakuu ya 3 na ya mwisho ya dunia itakayotumiwa kama sababu ya kuundwa kwa serikali nadini moja ya dunia. Unajua nini kilitokea mara baada ya vita kuu ya kwanza na ya pili zadunia? Je, vita kuu ya tatu itaanza lini? itakuwaje? Umejiandaaje na vita hiyo? Malengoya New World Order hatimaye yatakamilikalini? Kumbuka kuwa vita ya kwanza na yapili za dunia zilipangwa kwa makusudi yenye malengo ya kutekeleza mipango yaIlluminati na hawawezi kutumia namba 2 maana hiyo siyo namba yao hivyo lazimawaanzishe tena vita kuu ya 3 ya dunia ndipo wafanikiwe kuanzisha serikali na dini moja.Hilo tutaliona mbeleni.Kwanza kabisa nini maana ya Freemason? Katika dictionary au kamusi wanasemakwamba Freemason is a member of a certain secret society. Yaani Freemason nimwanachama wa chama cha siri au jamii ya siri. Hata hivyo neno Freemason linatokanana maneno mawili, Free na Mason. Maana ya Free ni huru na maana ya Mason ni mtumjenzi wa majengo katika fani ya uwashi. Tunajua kuna wajenzi wanaoitwa kapenta, ilaMasons ni wajenzi uwashi. Kwa mafundi ujenzi wa uwashi wanafahamu kwamba wakatiwanajenga hasa kwa kutumia matofali, kilamstari wanaoujenga huitwa kozi, kwaKingereza course. Hivyo pia Freemason wanapojenga wanajenga kwa kozi wanazoziitadegree. Je, Freemason wanatumia nini kwenye ujenzi wao? kama tulivyoona kwenye siriza Freemason, wanajenga kwa kutumia mawe, ambayo ni watu wasiojua kamawanatumiwa kujenga. Freemason wanajenga nini? Wanajenga ulimwengu mzima wadini, siasa, uchumi na kazi/kilimo/ajira. Katika kitabu cha Ufunuo 7:1 Biblia inataja‘pepo nne za dunia’ ambazo zinazuiliwa namalaika wanne ili kazi ya kuwapiga muhuriwatu wa Mungu ikamilike. Pepo nne za dunia huwakilisha 1)machafuko ya kidini,2)machafuko ya kisiasa na utawala, 3) machafuko ya uchumi na biashara na 4)machafuko ya wafanyakazi na wakulima. Tutaona kwamba freemason nao wamejigawakatika makundi manne ili kuhakikisha wanafanikisha mpango mpya wa duniaulioanzishwa na Weishaupt mwaka 1776 na hivyo kumaanisha pepo nne za dunia kamazilivyoelezewa na Mungu kwenye kitabu cha Ufunuo 7:1. Tumeona kwambaIlluminati/freemason wameungana na mnyama wa namba 666 na hili linathibitishwa naPadre wa kanisa Katoliki Martin Malachi kwa kusema kwamba “He is protected by fourgovernments” “people of the world seem to him ready for strong worldwide moralgovernment with control.” (The keys of this Blood pp. 120, 160), akimaanisha kwambaPapa na Vatican inalindwa na serikali nne na hatimaye ulimwengu wote utatawaliwa naVatican. Je, serikali hizo nne ni zipi? Ni makundi manne ya freemason.Kuna degree 33 za Freemason. Mtu anapoanza katika hatua ya kwanza atatakiwakusoma degree ya kwanza inayoitwa Entered Apprentice degree; kisha atpanda na kufikaDegree ya pili inayoitwa Fellow Craft Degree na Degree ya tatu inaitwa The MasterMason degree hadi kufikia degree ya 33 ambayo ndiyo ya juu kabisa. Kama tulivyoonautaratibu wa kujiunga na Jesuits ni pamojana viapo vikali, hapa pia tunaona kwambaunapoingia katika Freemason utatakiwa kuapa katika kila ngazi unayopanda, hapanitaweka viapo katika kila ngazi tatu za awali, nitaweka katika lugha ya Kingereza bilakutoa tafsiri ya moja kwa moja, nitaelezea kwa ujumla wake maana ya viapo hivyo; kamahujui lugha ya Kingereza, tafadhali naomba umhusishe aliye karibu nawe ili akufafanulie;kabla ya kuapa, atasomewa maneno yafuatayo:“Mr. _______, before you can proceed further in Freemasonry, it will be necessaryforyou to take an Obligation appertaining to this degree. It becomes my duty as well aspleasure to inform you that there is nothing contained in the Obligation that conflictswith the duties you owe to God, your country, your neighbor, your family, or yourself.With this assurance on my part, are you willing to take the Obligation?” (Nevada ritual,circa 1984)Maneno hayo yanamaanisha kwamba unapoingia Feemason utaendelea kuwa namahusiano na Mungu wako, na nchi yako, na jirani zako, na familia yako kamakawaida. Lakini Freemason wanamwabudumungu yupi? Wao wanamwabudu munguanayeitwa GAOTU – Great Architect Of TheUniverse – yaani ‘Mbunifu mkuu waulimwengu.’ Freemason hawamwabudu Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo. Salazao zote huelekezwa kwa GAOTU. Architect ni mtu anayebuni ramani za majengo,majengo unayoyaona katika nchi mbalimbali yakiwemo yale yaliyomo ndani ya miji yanchi yetu, yanatokana na ubunifu wa watu wanaoitwa Architects. Ni watu wenye elimukubwa sana kuhusu mambo ya ubunifu na ujenzi wa majengo. Freemason nao niwajenzi wa maadili wanayoyataka wao na pia wanaye Architect (mbunifu) wao mkuuambaye ndiye wanayemwabudu, jina la Architect wao ni GAOTU. Huyo ndiye mbunifumkuu wa shughuli za Freemason katika ujenzi wa ulimwengu, wengine ni watekelezajitu.Wapo watu pia wanaoelekeza sala zao kwaviumbe badala ya kuelekeza kwaMuumbaji. Wao pia hawatofautiani na Freemason maana wote wanakwenda kinyumena Mungu, na ukweli ni kwamba wanafanya hivyo kutokana na ubunifu wa GAOTUmaana kazi yake ni kubuni mbinu mbalimbali za kuwafanya watu wawe mbali naMungu. Yesu anasema kwamba tunapotaka kusali tusali hivi, “Baba yetu uliyembinguni……” Mathayo 6:9-13, ikimaanisha kwamba sala zetu zote tuzielekeze kwaMungu aliye mbinguni tena kwa Jina la Yesu. GAOTU anajua kwamba Mungu alisema,“mtu akijikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote” Yakobo 2:10, ndio maanaanajitahidi kuwafanya watu wamkosee Mungu hata katika kitu kidogo, na watakuwawamemkosea juu ya yote. Hivyo unaweza ukawa mlokole, msabato, mkatoliki,muislamu, mbudha, myahudi nk. lakini ukimkosea Mungu katika jambo moja tuumemkosea juu ya yote. Ndio maana leo hii katika dunia nzima kuna utitiri wamadhehebu na dini za kila aina. Wataalamu wanasema kuna dini zaidi ya elfu tatu! Je,wote watakwenda Paradiso? Biblia inasema, “Je! Hamjui ya kuwa wale washindanaokwa kupiga mbio, hupiga mbio wote, lakini apokeaye tuzo ni mmoja?” 1 Wakorintho9:24. Hivyo pamoja na kuwa na dini nyingi kiasi hicho na dini zote zikiwa zinadaikupiga mbio ili kupata tuzo ya uzima wa milele, ni wale tu wanaotii kila moja ya amriza Mungu ndio wanaopiga mbio vizuri na ndio watakaopata tuzo, nao watatoka katikadhehebu moja tu.Kwa nini watu huingia Freemason? Ni kwa sababu ya kutaka utajiri wa dunia hii.Wakati shetani anamjaribu Yesu, alimwonyesha utajiri, “Kisha ibilisi akamchukuampaka mlima mrefu mno, akamwonyesha milki zote za ulimwengu, na fahari yake,akamwambia, Haya yote nitakupa, ukianguka kunisujudia.” Mathayo 4:8, 9. Baada yaibilisi kushindwa kumnasa Yesu, sasa aliendelea kutumia njia hiyo hiyo kwa kumtumiamnyama ili awape watu utajiri kupitia Freemason, tunasoma kwamba, “Lakini katikamahali pake atamheshimu mungu wa ngome; na mungu ambaye baba zake hawakumjuaatamheshimu, kwa dhahabu na fedha, na vito vya thamani na vitu vipendezavyo…..nayeye atakayemkubali atamwongeza kwa utukufu; naye atawapa kumiliki wengi; nayeataigawa nchi kwa rushwa.” Danieli 11:38,39. Ndio maana watu wengi wanaingiakwenye vyama vya siri kama Freemason na kila anayeingia humo hufanywa apatekumiliki vitu vingi na kuwa tajiri mkubwa, tena hao ndio chanzo cha rushwa nchini nahata kusababisha ufisadi wa hali ya juu katika nchi mbali mbali.Unapokubaliana na swali katika maneno ya awali hapo juu, utatakiwa kuapa kwakuzingatia ngazi unayotaka kupanda katikaFreemason. Viapo hivyo ni kama ifuatavyo:Entered Apprentice Degree: “….my throat cut across, my tongue torn out, and with mybody buried in the sands of the sea at low-water mark, where the tide ebbs and flowstwice in twenty-four hours, should I ever knowingly or willfully violate this, my solemnObligation of an Entered Apprentice.”Fellow Craft Degree: “….my left breast torn open, my heart and vitals taken thence,and with my body given as a prey to the vultures of the air, should I ever knowingly,orwillfully, violate this, my solemn Obligationof a Fellow Craft.”;Master Mason Degree: “….my body severed in twain, my bowels taken thence, and withmy body burned to ashes, and the ashes thereof scattered to the four winds of Heaven,that there might remain neither track, tracenor remembrance among man or Masons ofso vile and perjured a wretch as I should be, should I ever knowingly or willfullyviolate this, my solemn Obligation of a Master Mason.” (Nevada ritual, circa 1984)Viapo hivyo tumevifupisha ili kuonyesha nini kitakachotokea endapo mtu ataamuakuwasaliti Freemason kama amejiunga nao. Mwanachama anapokiuka viapo hivyohupotea kimuujiza. Wapo wanaoamini kwamba mtu anapokuwa freemason hawezikutoka kwenye chama hicho, wanasema “Once a mason always a mason” lakini hilosikweli maana wapo wengi walioingia kwenye vyama vya siri bila kujua kwa undanikuhusu vyama hivyo ikiwa ni pamoja na freemason na walipofahamu kwa undaniwalitoka, watu hao wamekuwa msaada mkubwa kutoa siri za vyama hivyo. Katikamiaka ya 1800 kapteni William Morgan aliachana na chama hicho cha Freemason naalikuwa amejiandaa kutoa siri zao ndipo akakamatwa huko Niagra, New YorkMarekani na kuuawa, mwili wake haukuonekana hadi hivi leo. Lakini wengi wametokana hadi leo wapo wakiendelea kutoa siri zavyama hivyo. Ndugu msomaji kamaunaweza kuchunguza zaidi utagundua kuwa kuna viapo ambavyo watumishi wamadhehebu kadhaa hutakiwa kuvifanya wanapoingia katika utumishi wao. Freemasonhuapa kwamba watamtii GAOTU lakini pia hata watumishi wa madhehebu kadhaahuapa kutoa utii wao sio kwa Mungu bali kwa kiongozi mkuu wa kanisa husika na kwakanisa lenyewe. Tafadhali chunguza katikadhehebu lako pengine ni wachungaji,maaskofu, mitume na manabii wa siku hizi au makasisi, nk. Cha ajabu kuna madhehebuambayo huwaapisha watu wanapotaka kwenda kubatizwa baada ya kukubali imani yao.Hata hivyo madhehebu hayo kwa kuwaapisha wachungaji, maaskofu au makasisi, nahata waumini wao wanapokwenda kubatizwa, wanaonyesha kuwa wametekwa naFreemason kutokana na ubunifu wa GAOTU kwa sababu Biblia inasema kwamba:“Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizieBwananyapo zako; lakini mimi nawaambia, Usiape kabisa; hata kwa mbingu, kwa maanandicho kiti cha enzi cha Mungu; wala kwa nchi, kwa maana ndiyo pa kuweka miguuyake…wala usiape kwa kichwa chako, maana huwezi kufanya unywele mmoja kuwamweupe au mweusi…..kwa kuwa yazidiyo hayo yatoka kwa yule mwovu.” Mathayo5:33-37. “Lakini zaidi ya yote, ndugu zangu,msiape….msije mkaangukia hukumu.”Yakobo 5:12.Je, viapo vya watumishi wa makanisa na waumini wao vinatoka wapi kama sio kwaFreemason ambao nao huapa pia? Tena vinatoka kwa GAOTU – mbunifu mkuu waujenzi wa maadili yaliyo kinyume na Mungu. Mbona Biblia iko wazi kuhusu kuapamaana Mungu amekataza kuapa na hasa kwenye mambo ya dini.Freemason ni wajenzi walio huru, ambao wanafanya kitu chochote kwa uhuru bilakupingwa. Kwa vile Freemason walianza kuwepo tangu karne ya 18, sio rahisi kwa sasakuweza kupinga malengo yao maana wao ndio wanaoshikilia uchumi wa dunia, jambomuhimu kwetu ni kujisalimisha kwa Yesu. Sehemu wanapopata mafunzo yao panaitwaLodge, sawa sawa na chuo mahali wanafunzi wanapopata elimu yao. Lodge pia nisehemu za ibada za Freemason.Freemason walianza mnamo karne ya 18 wakiwa ni moja ya kikosi cha mnyama wa666 katika kutimiza malengo yake. Wakati wa miaka 1260 (Ufunuo 13:1-8) ya matesoya watu wa Mungu iliyoanza mwaka 538ADna kuishia mwaka 1798 kwa papa Pius VIalipokamatwa na kuifia huko Ufaransa, kulitokea mkakati wa kutaka kuendelezautawala wa Rumi ya kidini na hivyo kuanzishwa kwa vikosi mbalimbali kwa ajiliyakutimiza malengo hayo ambapo muda si mrefu tutashuhudia lengo lao kuu likitimia.Moja ya vikosi hivyo ni Freemason ambao nao wamegawanyika katika vikosi kadhaa.Vikosi hivyo ni pamoja na “The Knight of Malta”, ambapo kazi yake ni kushugulikana makanisa ya Kiprotestant ili yageuzwe yafanane na Rumi na kwa kiasi kikubwakikosi hiki kimefanikiwa sana maana kimeweza kuunda umoja wa makanisa ambapounatawaliwa na Rumi na hivyo kuwa chini ya Rumi. Hata hivyo Mungu anasema, “Nakama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope,watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kamavile chuma kisivyoshikamana na udongo.” Danieli 2:43. Hivyo katika muungano huowa makanisa kuna chuma na udongo vimechangamana, chuma yakiwa ni madhehebumakubwa na yenye nguvu wakati udongo madhehebu madogomadogo katika muunganohuo. Kumbuka kwamba unabii hujirudia (Mhubiri 1:9). Yohana anatuambia kwambamuungano huo utavunjika wakati pigo la saba litakapopigwa, “Na mji ule mkuuukagawanyika mafungu matatu, na miji ya mataifa ikaanguka; na Babeli mkuuukakumbukwa mbele za Mungu, kupewa kikombe cha mvinyo ya ghazabu ya hasirayake.” Ufunuo 16:19. Hata hivyo watakuwa wamechelewa maana mda wa kutubuutakuwa umepita. Kuhusu ufafanuzi wa kugawanyika mafungu hayo matatu katikaUfunuo 16:19, nitayaelezea kwa kina mafungu hayo matatu katika sura zitakazofuata.Pia katika kudhoofisha maadili na kuwafanya watu wasipate muda wa kusoma nenola Mungu, kikosi hiki ndicho kinachoshughulika sana na kuvumbua michezombalimbali na hasa mpira wa miguu ambao duniani kote una mashabiki wengi sana.Wengi hupenda kuangalia ligi kuu hasa ya Uingereza yenye alama ya Simba, jeumewahi kujiuliza pesa nyingi zinazotumika kudhamini mpira, kununua wachezaji namishahara ya wachezaji nk zinatoka wapi? Je umewahi kujiuliza kuwa unatumia masaamangapi katika kushabikia michezo ukilinganisha na masaa unayotumia katikakutafutauhusiano wako na Mungu? je, huoni kwamba hatimaye utajikuta unashindwa kuwa namahusiano mazuri na Mungu? hivi karibunikutakuwa na kombe la dunia, hivilitafanyikia wapi safari hii? Nadhani kila mtu anajua! Lakini ukimuuliza akutajie mstariwa Biblia unaompa matumaini ya kuingia Paradiso, Mmmh! Kikosi hiki piakimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuingiza nadharia za kibinadamu katika mambo yakiroho. Hao ndio wanaoshinikiza wawepo maaskofu mashoga, lakini pia wamewezakuweka hata maaskofu na wachungaji wanawake. Katika Biblia hakuna mchungajiwalaaskofu mwanamke, Biblia inasema kwamba, “Ni neno la kuaminiwa, mtu akitaka kaziya askofu, atamani kazi njema. Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wamke mmoja…” 1 Timotheo 3:1-7. Hapo hakuna mke wa mume mmoja, au nimesomavibaya? Kikosi kingine cha Freemason kinaitwa “The knight of Columbus” kikiwa nakazi ya kushughulika na Siasa na Tawala za serikali zote duniani. Kazi kubwawanayoifanya ni kuhakikisha katiba za nchi mbalimbali zinabadilishwa ili kukidhi hajazao. Moja ya mafanikio makubwa ambayo kikosi hiki kimefanikiwa ni pamoja nakufanikiwa kuzishawishi nchi mbalimbali iliiwepo sheria ya haki sawa kwa kina mamana watoto ili wawe sawa na wanaume. Ni kweli kwamba Mungu anapenda watu wotewawe na haki sawa, ila ni haki katika mahitaji kama vile hewa, chakula, matibabu, namambo kama hayo yanayohusu uhai wa mwanadamu lakini sio usawa katika uongoziau utawala. Utasikia viongozi wakisisitiza kwamba watoto wasipigwe viboko –nyumbani wala shuleni, na hata sasa watoto wamewashitaki wazazi wao eti kwasababuwamechapwa viboko walipofanya makosa;lakini Biblia inasema kwamba, “Usimnyimemtoto wako mapigo, maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa. Utampiga kwa fimbo, nakumuokoa nafsi yake na kuzimu.” Mithali 23: 13,14. Maana nyingine ni kwambaMungu anatuambia kama tunataka watoto wetu tuwaokoe na kuzimu hatuna budikuwachapa fimbo pale wanapofanya makosa. Pia utaona wanawake nao wakishikanyazifa za utawala na kuongoza wanawake, Biblia inakataza hilo kwa kusema,“Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwautungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala.”Mwanzo 3:16. Mtawala kwa mujibu wa neno la Mungu ni mwanamume. Kikosi chatatu kinaitwa “The knight Templars”, kikosi hiki kinashughulika na shughuli zote zauchumi na biashara. Hawa wamefaulu kwakiasi kikubwa kufanikisha biashara huria(free trade) maana kila kitu wanataka kifanyike huru, lengo la biashara huru au sokohuria ni kuweza kuweka sheria moja kwa urahisi itakayosimamia shughuli zote zakibiashara, maana kama kila nchi itakuwa na sheria zake za biashara, itakuwa vigumukukataza watu wasiuze wala kununua, kwavile katika Biblia tunasoma “Tena kwambamtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina lamnyama yule, au hesabu ya jina lake.” Ufunuo 13:17. Hivyo tunaona tena uhusiano katiya Freemason na mnyama wa 666. Kazi wanayoifanya Freemason ni kazi ya mnyamawa 666 ndio maana watashinikiza watu wawe na chapa au hesabu ya mnyama ndipowaweze kufanya biashara. Umewahi kusikia juu ya cashless business? Ni biasharaambayo watu watakuwa wakitumia kadi ya electronics na sio fedha katika biashara zao.Ndio maana tunaona nchi mbalimbali zikijiunga na kutumia sarafu moja, ila lengo nikutumia sarafu moja kwa dunia nzima. Hatimaye kikosi hiki kitahakikisha kwambahakuna mfanyabiashara wala mnunuzi atakayefanya biashara au kununua isipokuwaamemkubali mnyama wa 666. The knite Templers ndio wamiliki wa Benki kuu yadunia na IMF. Benki ya Dunia pamoja na IMF zinamilikiwa na familia mbili zaFreemason wa The knite Templers ambazo ni The Rothschilds ya Uingereza, japo wakoMarekani ila chimbuko lao ni Uingereza na ni wayahudi wa kuzaliwa, familia ya pili niThe Warbugs ya Ujerumani. Kila moja ya familia hizo ina watoto watano ambao kwakila wakati wamekuwa wakitawala katika taasisi hizo kubwa za fedha duniani. Hakunamtu asiyejua kwamba taasisi hizi ndizo zinazotoa mikopo kwa nchi mbalimbali nahutoza riba kubwa kiasi kwamba nchi husika hushindwa kulipa madeni hayo nahatimaye kulazimika kufuata masharti yao ili wapewe msamaha wa madeni yao nakupewa mikopo tena zaidi. Kwa taarifa zaidi nenda na fungua mtandao wa googlekishasearch the rothschilds au the Warburg. Hebu sasa tumsikilize ndugu Baron M.ARothschild, yeye anasema kwamba,“Give me control over a nations currency, and I care not who makes its laws.”~BaronM.A. Rothschild,Yeye anasema kwamba “Nipe utawala wa fedha za mataifa yote, sijali ni nanianayetunga sheria zake.” Zaidi unaweza kwenda kwenye mtandao ambapo utapatakujua sababu za kuanzishwa kwa Benki ya dunia zikitajwa na Rais wa tatu waMarekani Thomas Jefferson kwamba ilikuwa ni kwa sababu ya kuwawezeshaFreemason watawale dunia. wwww.crownempire.org/index.php/illuminati/1621-theilluminati-today/. Hivi karibuni tulishuhudia kile kinachoitwa Kuyumba kwa uchumiduniani, hata nchi yetu ikatangaza mpangowa kunusuru uchumi wa nchi. Tatizo hilililianzia Marekani kisha kufuatia nchi za Asia na Ulaya. Huo ni mwanzo wakushinikiza nchi zote kukubaliana na kile kinachoitwa Global Economic Reformambapo hatima yake ni kukatazwa kuuza wala kununua kama huna chapa au hesabu yamnyama wa 666.Kikosi cha nne cha Freemason kinaitwa “Scotish Templars”, hiki kinahusika zaidina maswala ya kazi na kilimo. Hawa wanafanikiwa kwa kiasi kikubwa kushawishivyama vya wafanyakazi na wakulima ili walete migogoro katika nchi husika, lengolikiwa kudhoofisha serikali husika ili kwamba wapate nafasi kubwa ya kuwezakufanikisha malengo yao. Ni juzi tu kulikuwa na migomo ya waendesha ndege zamashirika makubwa ya ndege duniani wakizishinikiza serikali zao zitekeleze matakwayao ambayo hatimaye serikali zitadhoofikana kujisalimisha kwenye mpango wa TheNew World Order. Vikosi vyote hivyo hushirikiana katika kusaidia kutimiza malengoya kila kikosi na hatimaye kumuwezesha mnyama wa 666 kutimiza mipango yake.Vikosi hivyo ndizo pepo za nne za duniani alizoziona nabii Yohana akiwa katika kisiwacha patmo. Hadi sasa malakika wanne wanaendelea kushikilia au kuzuia pepo hizo nnehadi kazi ya kupigwa muhuri kwa watu wa Mungu itakapokamilika. Hata hivyo kadrimuda unavyokwenda ndivyo malaika hawawanne wanaachilia taratibu pepo hizo nnena ndio maana tunaona dini na madhehebu ya kila aina yakiibuka na mafundisho yamashetani, tunashuhudia migomo mikubwa ya wafanyakazi, tunashuhudia kuangukakwa uchumi wa dunia na hata tunashuhudia nguvu za asili zikitikisa dunia kama vilemafuriko, moto, matetemeko na matukio mengine mengi. Unaweza kurejea jedwali lautawala wa Illuminati na kujifunza katika jedwali hilo utaona vikosi vinne vyafreemason.Imeandikwa na GIDEON M.